scot mcomic
JF-Expert Member
- Apr 17, 2021
- 234
- 383
Alaf nakula wap mkuu
We nae pasaka yoteee hii badala ufurahii unajipa matress tu..!Habari za sikukuu ya pasaka natumai wote ni wazima wangwana niende Moja Kwa moja kwenye mada ni kwamba hapa kazini Kuna dada mmoja tulitokea kupendana sana Sasa juzi tukapishana kauli nikatikisa kiberiti mwenzang kamwaga njiti kabisa nilikuw nampima tu kwamba tuachane akakubali Sasa nimeweka ngumu lakini naona kabisa nashindwa kibaya Kila saa namuona anavyo chat na majamaa wengine Wanacheka nn Kwa kweli nje navumilia lkn nachomeka mwenye mbinu yeyote anipe jaman ya kumpotezea unaye mpenda alaf mpo karibu ushauri pia kukosolewa naruhusu karibuni sana
Ninao wawil lkn hapo nimefika nisidanganyeUnakuaje na mwanamke mmoja babu miliki pisi 3
View attachment 2950294
Havishuki mkuu ndo shidaWe nae pasaka yoteee hii badala ufurahii unajipa matress tu..!
Kula nyamaa kula bia maisha ni haya hayaa!
😁😁Acha kazi
Unakuaje na mchuchu kazini? Achana na hizo habari, ni ujinga na unajiweka kwenye risk kubwa sana kuwa na Mpenzi ofisi moja au eneo moja la KAZIHabari za sikukuu ya pasaka natumai wote ni wazima wangwana niende Moja Kwa moja kwenye mada ni kwamba hapa kazini Kuna dada mmoja tulitokea kupendana sana Sasa juzi tukapishana kauli nikatikisa kiberiti mwenzang kamwaga njiti kabisa nilikuw nampima tu kwamba tuachane akakubali Sasa nimeweka ngumu lakini naona kabisa nashindwa kibaya Kila saa namuona anavyo chat na majamaa wengine Wanacheka nn Kwa kweli nje navumilia lkn nachomeka mwenye mbinu yeyote anipe jaman ya kumpotezea unaye mpenda alaf mpo karibu ushauri pia kukosolewa naruhusu karibuni sana
Ni kweli dada ubaya namuona Kila mda nimejitahid kumkwep lkn ni kama na yeye ananitafut iv ili anichome vizuriMapenzi yana nguvu mapenz hayajaribiwi mkuu
Nipe namba yake, anywe Jager Master leo leo....Ni kweli dada ubaya namuona Kila mda nimejitahid kumkwep lkn ni kama na yeye ananitafut iv
Mm mchepuko wangu nilidesh kutoutafuta nawenyewe ukaacha saivi ni mwezi na ninajiona fresh, haunitafuti siutafuti.Habari za sikukuu ya pasaka natumai wote ni wazima wangwana niende Moja Kwa moja kwenye mada ni kwamba hapa kazini Kuna dada mmoja tulitokea kupendana sana Sasa juzi tukapishana kauli nikatikisa kiberiti mwenzang kamwaga njiti kabisa nilikuw nampima tu kwamba tuachane akakubali Sasa nimeweka ngumu lakini naona kabisa nashindwa kibaya Kila saa namuona anavyo chat na majamaa wengine Wanacheka nn Kwa kweli nje navumilia lkn nachomeka mwenye mbinu yeyote anipe jaman ya kumpotezea unaye mpenda alaf mpo karibu ushauri pia kukosolewa naruhusu karibuni sana
Kuchat namaanish namuona anavyo piga story na wengine sio Kwa sim kawaidaUnamuona anachat na majamaa wengine? Kivipi?.unachungulia simu yake? au kazi yenu mnafanya muda wote mpo benchi moja...