Wakuu nifundisheni maneno magumu ya kiswahili ambayo tunapaswa kuyaongea lakini hatuongei. Sitaki kuwa mjinga wa Lugha hii tamu

Wakuu nifundisheni maneno magumu ya kiswahili ambayo tunapaswa kuyaongea lakini hatuongei. Sitaki kuwa mjinga wa Lugha hii tamu

matunduizi

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2018
Posts
7,968
Reaction score
19,368
wakuu mbalimbali
mlejee kichwa cha habari hapo juu.

kama kuna neno la kiswahili fasaha unalijua unaweza kuliweka ikipendeza litungie sentensi.
Nataka kuanza kuyaongea na Kuyaandika popote pale.

msisahau tafsiri.

Mfano: Smarphone ni sanuka/simujanja.
Leo jioni ntapita kariakoo nirekebishe sanuka yangu.
 
paoneaanga - kituo au taasisi ya kuangalia anga na nyota zake (ing. observatory)

Tanzania itakuwa karibuni na paoneanga pake pa kwanza panapojengwa huko Arusha.
 
Jimbi-kuku dume.
Gegedu-kuku jike
Kama nimefanya mbele nyuma masahihisho ruksa!
 
paoneaanga - kituo au taasisi ya kuangalia anga na nyota zake (ing. observatory)

Tanzania itakuwa karibuni na paoneanga pake pa kwanza panapojengwa huko Arusha.
Safi sana.
Paonea anga pa kwanza Afrika kujengwa huko Arusha Tanzania.
 
Back
Top Bottom