Wakuu nifundisheni maneno magumu ya kiswahili ambayo tunapaswa kuyaongea lakini hatuongei. Sitaki kuwa mjinga wa Lugha hii tamu

Mwenye nakalatepe ya Kamusi ya kiswahili nahitaji hapa kwenye uzi kuhakiki maneno haya wadau wanayoyaleta.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…