Wakuu niko natoka Kigoma kwenda mwanza!! Niwekeeni story ya kutembea nasoma

Hivi kigoma sikuhizi kuna lami? Zamani abiria walikua wakishuka kwenye Adventure utasema ndani ya gari kuna machimbo jinsi walivyooga vumbi
rami full mzee!!
masharobaro kama nyie saizi mnaruhusiwa kuja
 
Sasa ulikuwa unataka story za akina nani au akina BALTASAR ENGONGA🤣🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…