Camp Lehigh
JF-Expert Member
- Nov 20, 2018
- 335
- 612
Naandika haya simanzi nzito kichwani na moyoni[emoji22][emoji22]. Nimeachwa na mwanamke nimpendae, sijui nifanye nini. Nina vidonda tumbo vilikua vimetulia muda mrefu vimenijia now kwa mawazo niliyonayo, sijui hata nifanyeje.
Sijui nitakua mgeni wa nani mimi, nahurumia moyo wangu ulizama kwake leo kaniblock kila kona bila sababu ya msingi. Tumeongea leo vizuri tu, ananieleza hana shida nami kaniblock. L nakupenda wewe tu sijawahi fikiria kukucheat nakuapia.
Najua utasoma hapa! Wakuu nimebaki njia panda hata sijielewi, nipeni mbinuuu nimrudishe mpenzi wangu[emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22]
Sijui nitakua mgeni wa nani mimi, nahurumia moyo wangu ulizama kwake leo kaniblock kila kona bila sababu ya msingi. Tumeongea leo vizuri tu, ananieleza hana shida nami kaniblock. L nakupenda wewe tu sijawahi fikiria kukucheat nakuapia.
Najua utasoma hapa! Wakuu nimebaki njia panda hata sijielewi, nipeni mbinuuu nimrudishe mpenzi wangu[emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22]