Chilogole
JF-Expert Member
- Jun 18, 2019
- 291
- 273
Sa utamuonyeshaje mwanamke wako avatar yako Mkuu aisee kumbe hujawajua wanawake bado mwanafunz haya kazana sada
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sa utamuonyeshaje mwanamke wako avatar yako Mkuu aisee kumbe hujawajua wanawake bado mwanafunz haya kazana sada
Sio kafuta ataweka akaunt ingine ambayo wewe hutaijuwa kwahyo unavyolialia anakuchora tuKaka humjui tu kumbe hajanibloku kafuta kabisa account wasap mara ya mwisho kuwasiliana nae alikua ananiuliza jinsi ya kufuta account jf anataka atoke humu kwa miezi (alishawahi potea miaka 2 humu)
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweny love kuna umbali? Haswa kwenye kutafta suruhu! Umekuja kutuinjoy ww haupo silius
Umeishiwa mbinu ya kumfanya awe anakuwaza mda wote sasa yeye amefanya kinyume chakeWakuu inauma sana mimi maumivu ya Ulcers na moyo yanechanganyika sijui kama nitasavaivu. Maisha hayana maana tena, anajua ninamoyo mwepesi ila ndio ananiua sasa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwenye kuachwa lazima sababu iwepo kamanda wapo wanaoweza kukuchana lakini wapo ambao kama huyo yeye ameona soo kukuambia akatumia njia ya kukublock....kwa sisi wazoefu tunapiga moyo konde life linasongaImagine unaachwa bila sababu ya msingi inauma sana mkuu mimi nampenda kuliko mwanamke yoyote. Sijawahi waza kua na mwanamke mwingine
Sent using Jamii Forums mobile app
Ushauri konki mwache aendelee kulia liaWanaume wenzio tunapambana kutafuta hela wewe unapambana kutafuta magonjwa ya moyo.
Ona sasa umeachwa sababu hauna hela. Tafuta hela, ukiwa na hela hakuna kuachwa wewe ndio utaacha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mola akuwekee wepesi na subra. Karibu upate dawa ya kutibu moja kwa moja ulcers.Wakuu inauma sana mimi maumivu ya Ulcers na moyo yanechanganyika sijui kama nitasavaivu. Maisha hayana maana tena, anajua ninamoyo mwepesi ila ndio ananiua sasa
Sent using Jamii Forums mobile app
KweliiiiChagua wanaokuchagua, mwache aende Mkuu, penda unapopendwa, mshukuru Mungu kaondoka SASA hivi maana ungekuja jutia sana
😀😆😀Jf kuna watuKaribu uchukue fomu hapa CHAPUTA tuko vizuri tutakufundisha style mbali mbali za maisha na medani stadi za punyeto, acha uwoga utamu unao mwenyewe pale unafata kuteleza tu. Karibu sana, kuna kavu kavu, kuna ya papai la kuiva, kuna ya tairizi, kuna inzi na gazeti, kuna mafuta, kuna ya mate. Mtaji wako chabo au porn site, sasa utachagua kama ni porn hub au xvideo.
karibuni. nawasilisha jamvini
ℍ𝕚𝕚 𝕟𝕚 𝕜𝕦𝕥𝕠𝕜𝕒 𝕜𝕨𝕒 ℝ𝕒𝕚𝕤 𝕨𝕒 ℂℍ𝔸ℙ𝕌𝕋𝔸 [emoji122]Karibu uchukue fomu hapa CHAPUTA tuko vizuri tutakufundisha style mbali mbali za maisha na medani stadi za punyeto, acha uwoga utamu unao mwenyewe pale unafata kuteleza tu. Karibu sana, kuna kavu kavu, kuna ya papai la kuiva, kuna ya tairizi, kuna inzi na gazeti, kuna mafuta, kuna ya mate. Mtaji wako chabo au porn site, sasa utachagua kama ni porn hub au xvideo.
karibuni. nawasilisha jamvini