Wakuu nimeachwa mwenzenu

Wakuu nimeachwa mwenzenu

Mkuu tafuta hela

Demu asipokupenda,, atapenda pesa zako.

Huwezi kosa hizo option mbili...

Japo mapenz ni zaidi ya pesa ila ukiwa na pesa.... Hizo pesa huwa ni zaidi ya mapenzi.
 
Angekupenda asingekuacha

Moyo wa mtu kichaka..

Alitakiwa kusema yeye ndio anampenda,,, swala la yeye kupendwa akitakiwa amuachie demu..

Leo yote haya ni bado ana amini anapendwa so anaona demu anaweza rudi kirahisi.
 
Wewe kaa kimya usimtafute jifanye na wewe huna time nae huku ukiugulia maumivu polepole alijua unampenda ndiomana kaondoka
 
Yaani unapodili na wanawake ukishakuwa "Nice man" hakuna rangi utaacha kuona.
 
Naandika haya simanzi nzito kichwani na moyoni[emoji22][emoji22]. Nimeachwa na mwanamke nimpendae, sijui nifanye nini. Nina vidonda tumbo vilikua vimetulia muda mrefu vimenijia now kwa mawazo niliyonayo, sijui hata nifanyeje.

Sijui nitakua mgeni wa nani mimi, nahurumia moyo wangu ulizama kwake leo kaniblock kila kona bila sababu ya msingi. Tumeongea leo vizuri tu, ananieleza hana shida nami kaniblock. L nakupenda wewe tu sijawahi fikiria kukucheat nakuapia.

Najua utasoma hapa! Wakuu nimebaki njia panda hata sijielewi, nipeni mbinuuu nimrudishe mpenzi wangu[emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22]
View attachment 1432378

Sent using Jamii Forums mobile app

Pole sana..mpenzi wake kaja [emoji1]
 
Naandika haya simanzi nzito kichwani na moyoni[emoji22][emoji22]. Nimeachwa na mwanamke nimpendae, sijui nifanye nini. Nina vidonda tumbo vilikua vimetulia muda mrefu vimenijia now kwa mawazo niliyonayo, sijui hata nifanyeje.

Sijui nitakua mgeni wa nani mimi, nahurumia moyo wangu ulizama kwake leo kaniblock kila kona bila sababu ya msingi. Tumeongea leo vizuri tu, ananieleza hana shida nami kaniblock. L nakupenda wewe tu sijawahi fikiria kukucheat nakuapia.

Najua utasoma hapa! Wakuu nimebaki njia panda hata sijielewi, nipeni mbinuuu nimrudishe mpenzi wangu[emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22]
View attachment 1432378

Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana mwamba
 
kama umeachwa na ww si unamuacha tu kazi ipo wapi? toka lini mwanaume akaachwa akaumia... tafuta pisi kali maisha yaendelee ama tafuta rafiki yake kula mzigo ataumia kwa wivu.
 
Back
Top Bottom