Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Angekupenda asingekuacha
Sio rahisi kwa uliyempenda kwa dhati mkuuWewe kaa kimya usimtafute jifanye na wewe huna time nae huku ukiugulia maumivu polepole alijua unampenda ndiomana kaondoka
Bado tu hamjayamaliza?Sio rahisi kwa uliyempenda kwa dhati mkuu
Naandika haya simanzi nzito kichwani na moyoni[emoji22][emoji22]. Nimeachwa na mwanamke nimpendae, sijui nifanye nini. Nina vidonda tumbo vilikua vimetulia muda mrefu vimenijia now kwa mawazo niliyonayo, sijui hata nifanyeje.
Sijui nitakua mgeni wa nani mimi, nahurumia moyo wangu ulizama kwake leo kaniblock kila kona bila sababu ya msingi. Tumeongea leo vizuri tu, ananieleza hana shida nami kaniblock. L nakupenda wewe tu sijawahi fikiria kukucheat nakuapia.
Najua utasoma hapa! Wakuu nimebaki njia panda hata sijielewi, nipeni mbinuuu nimrudishe mpenzi wangu[emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22]
View attachment 1432378
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio mimi bana🤣Ledada
Lenie
Najaribu kubet
Sio mimi bana[emoji1787]
Ananisingizia bure😀[emoji3][emoji3][emoji23][emoji23]
The ways you are presenting your case, hata mimi ningekuacha. Wonders will never end.Kaka nilimpenda toka moyoni nae pia alinipenda Mimi sijui nifanyaje
Sent using Jamii Forums mobile app
Miss u moaaah,Bado tu hamjayamaliza?
Kwake hupajui?
Pole sana mwambaNaandika haya simanzi nzito kichwani na moyoni[emoji22][emoji22]. Nimeachwa na mwanamke nimpendae, sijui nifanye nini. Nina vidonda tumbo vilikua vimetulia muda mrefu vimenijia now kwa mawazo niliyonayo, sijui hata nifanyeje.
Sijui nitakua mgeni wa nani mimi, nahurumia moyo wangu ulizama kwake leo kaniblock kila kona bila sababu ya msingi. Tumeongea leo vizuri tu, ananieleza hana shida nami kaniblock. L nakupenda wewe tu sijawahi fikiria kukucheat nakuapia.
Najua utasoma hapa! Wakuu nimebaki njia panda hata sijielewi, nipeni mbinuuu nimrudishe mpenzi wangu[emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22]
View attachment 1432378
Sent using Jamii Forums mobile app