Wakuu nimeota nafanya mapenzi..

πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„ We Faana unajua huyu dactar wa mchongo sana aiseeee...

Kuna siku alisema et usiku tuwe tunakula nyanya 3 na juis ya pili pili kichaa ......

Asubhi tusinywe chai ila tuwe tunakunywa maji ya bahari ...
Seriously..πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ

Ukute mnafahamiana nini πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
 
Unataka ijirudie sio angalia isije jirudia unazagamuliwa wewe
 
Hahaha..........tafuta sheikh akusomee vitabu akuitie.

Changamoto yake unaweza ku-date naye lakini watoto wote wakawa wake

Siku akiondoka anaondoka nao wote kwenda nao Ujinini πŸ™Œ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…