Confession
JF-Expert Member
- Mar 30, 2019
- 669
- 2,309
Heee tenaaa hahaaaa una vituko sana weweHata kama mkuu..
Ndoto ya jana ilikua very special yaani sijawahi ona mdada mkali vile mkuu assume ni sawa una kiu cha maji jangwani alafu gafla unakutana na maji bardi assume tuu..
Mkuu jana ilikua hatareee aiseee natamani leo ijirudie aiseee
πππππππππ We Faana unajua huyu dactar wa mchongo sana aiseeee...
Mkuu je nifanye nini ili ijitokeze tenaJini mahaba, okba sana. Ndoto za ngono si za kawaida
Sasa mimi ya jana imekua very special mkuu an hata kama nyie huwatokea hii ya kwangu ni komoa aiseeeI don't know if hakuna ambaye haijamtokea. Personally it's normal cause I'm not messing around sana
Daaah mkuu sijapiga bao....Ulijipigia bao?π€£π€£π€£
Mkuu ile raha sijawahi pata before aiseeee an mpaka sasa nipo job hapa selewi an yule mdada alikua hatareeeHeee tenaaa hahaaaa una vituko sana wewe
Hivi mkuu unajua unaweza pata kansa ya koo kwa mambo kama hayoHadi alipaka asali ukashindwa kulamba
Umezingua mhuni wangu
Ridhiki zingine mnazichezea kwenye ndoto
Ukiota tena Fanya kweli
Unataka ijirudie sio angalia isije jirudia unazagamuliwa weweWakuu nimeota nafanya mapenzi..
Na huyo mtu naefanya nae alipaka asali kwenye naniliu yake akawa analazimisha mimi et nilambe. Naniliu yake.
Wakuu hi inamaana gani.
Alafu huyo demu alikua mkali sana aiseee..
Wakuu nafanya nn hi hali ijirudie tena ....
Maana hata sikumfanya vzr
Mwenye simu hayupo..
Hata simjui ila nakuta post zake huko nacheka mpaka naangukaUkute mnafahamiana nini πππ
Wee mwamba kumbe ni shaitwani...Unataka ijirudie sio angalia isije jirudia unazagamuliwa wewe
HahaaaaaSasa mimi ya jana imekua very special mkuu an hata kama nyie huwatokea hii ya kwangu ni komoa aiseee
Hahaaa sahauMkuu ile raha sijawahi pata before aiseeee an mpaka sasa nipo job hapa selewi an yule mdada alikua hatareee
Yaaan jamaa yupo seriously sana et anasema tunywe maji ya bahar πππππππππππHata simjui ila nakuta post zake huko nacheka mpaka naanguka
Mkuu nilistuka baada ya kuona nakinai ile asali..Ungeendelea na usingiz ungepakwa asali pia
Wee cheka ijakukuta hiyoooHahaaaaa
Mybe leo inaweza kuwa kama jana..Hahaaa sahau
Hahaha..........tafuta sheikh akusomee vitabu akuitie.Mkuu ukute ni kweli lishanipenda sana an..
Maana sijawahi ingiza mwanamke ghett humu nina miezi..
Kingine ghetto ni safi na huwa napulizia marashi sana ukute kapenda nini..?
Sasa mkuu napataje advantage ya huyu kMa ni jini maana ndoto ya jana ilikua hatareee mkuu