loliondokwetu
JF-Expert Member
- Feb 21, 2018
- 1,376
- 1,752
Mkuu yaonekana unaifaham vzr ebu tupe darasa.Meditation bora haifanyiki kwa kitu kinachotoka nnje yako 🤔 ukisikiliza pumzi yako inhalation and exhalation inatosha na ni bora zaidi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu yaonekana unaifaham vzr ebu tupe darasa.Meditation bora haifanyiki kwa kitu kinachotoka nnje yako 🤔 ukisikiliza pumzi yako inhalation and exhalation inatosha na ni bora zaidi.
Sina upwiru Mimi 😄😄😄😄Upwiru utakuua mdogo wangu
Manina leo nataka nipake mkongo kabisa. Maana hajanitoka kichwani alafu ni chocolate colour moja hvMimi tangu wana wanisanue kua hayo huwaga ni majini, basi nikawa natamani yaje niyahondomole vilivyo, bahati mbaya hayajawahi kuja aisee.
Leo kula vizuri ulisubiri, likija unalichapa vilivyo kesho utakuta vibunda tu kitandani.
Mkuu mi na ngono vtu viwili tofaut
Mkuu kuna faida gani ya kufanya yote hayiMwanaume. Sifa kuu ni kupanda matetea mengi
Tutaharibu uzi wa mwamba mkuu , ngoja tutafungua wetu.Mkuu yaonekana unaifaham vzr ebu tupe darasa.
Nne staying for too long without having sex. It happens sometimes kwangu due to that and sishangaiPole sana Kwa hayo maswahibu
Kiashiria kimoja wapo kwamba Mtu amebarehe ilikuwa ni pamoja na ndoto nyevu kama hizo, mara nyingi ilikuwa inawakumba Vijana wa Rika la miaka 14-18 hapo.
Nakumbuka wakati wa barehe yangu nilikuwa naweza kuota nashirikiana na Mwanamke na kwenda hata safari mbili within ndoto moja.
Asubuhi nakuta Boksa imechafuka hasa 🙌
Ukishavuka umri wa barehe, na bado ukaendelea kuota unafanya ngono huwa inaashiria kwamba;
Unafikiria sana ngono, hivyo ukilala unajikuta unaota ndoto za kufanya ngono
Pili huwa ni ishara kwamba unatembelewa na Jini Mahaba, hivyo kujikuta unashiriki naye ngono.
Tatu, ni kiashiria kwetu Wazazi kwamba Kijana wetu umekuwa, hivyo tukulazimishe Uoe, hata kama utakuwa hauna kitu ndani
Bora tuuze mashamba yetu pamoja na Viwanja ili Kijana wetu uweze Kuoa, vinginevyo vipande vya Sabuni na mafuta yatakuwa yanaisha Kila Siku 😜
Dogo nawe una visa sana 🤣🤣🤣Wakuu nimeota nafanya mapenzi..
Na huyo mtu naefanya nae alipaka asali kwenye naniliu yake akawa analazimisha mimi et nilambe. Naniliu yake.
Wakuu hi inamaana gani.
Alafu huyo demu alikua mkali sana aiseee..
Mwenye simu hayupo..
Hadi wewe mkuu ishakutokea hiyo....Nne staying for too long without having sex. It happens sometimes kwangu due to that and sishangai
😄😄😄😄😄 Siku nikiota nakunywa maziwa mtindi..Dogo nawe una visa sana 🤣🤣🤣
Ndio mkuu yaani nimemfanya kidogo lakini alivosema nile ile asali nikaanza kumkinaiMkuu samahani, alivyokuwa anakufanya ulikuwa unahisi raha??
🤣🤣🤣🤣hujui vitu vizuri mkuu,😄😄😄😄😄 Siku nikiota nakunywa maziwa mtindi..
Hapo hapo na log out jamii forum mimi
Wakuu nimeota nafanya mapenzi..
Na huyo mtu naefanya nae alipaka asali kwenye naniliu yake akawa analazimisha mimi et nilambe. Naniliu yake.
Wakuu hi inamaana gani.
Alafu huyo demu alikua mkali sana aiseee..
Mwenye simu hayupo..
Jini mahaba, okba sana. Ndoto za ngono si za kawaidaWakuu nimeota nafanya mapenzi..
Na huyo mtu naefanya nae alipaka asali kwenye naniliu yake akawa analazimisha mimi et nilambe. Naniliu yake.
Wakuu hi inamaana gani.
Alafu huyo demu alikua mkali sana aiseee..
Mwenye simu hayupo..
I don't know if hakuna ambaye haijamtokea. Personally it's normal cause I'm not messing around sanaHadi wewe mkuu ishakutokea hiyo....
Hata kama mkuu..🤣🤣🤣🤣hujui vitu vizuri mkuu,
Utakuwa unawaza kuwekana sana mkuu, au una mda mrefu hujawekana.
Hapana sina upwiru kiivo mkuuUpwiri umekukaba koo
Ulijipigia bao?🤣🤣🤣Hata kama mkuu..
Ndoto ya jana ilikua very special yaani sijawahi ona mdada mkali vile mkuu assume ni sawa una kiu cha maji jangwani alafu gafla unakutana na maji bardi assume tuu..
Mkuu jana ilikua hatareee aiseee natamani leo ijirudie aiseee