Wakuu nimeota nafanya mapenzi..

Wakuu nimeota nafanya mapenzi..

True but think for how long mnafanya sex and the other time mnaishi pamoja like normal. Utajua sex is a very minor part of marriage unless mmoja is not satisfied and that's when it becomes a bigger issue
Kabisa mkuu hapo kwenye kuishi pamoja without sex mind kwa hiki kizazi ndio shida , nawengi wanajiingiza kwa mahusiano kwa sababu ya sex tu 🤔
 
Mabetting yote mjini ni yangu nimeweka vijana tu wanikusanyie na nawaganyaga kweli kweli 😂 😂😂😂, nikipita kwenye thread ya wazee wa kuweka mpunga kwa ajili ya kubashiri huwa nacheka kihindi kweli kweli 🤣🤣🤣🤣🤣
Kaka KKA kuna kitu nimekumbuka...
Kwenye ule uze waliwahi nitukana wale jamaa daaah nilijuta aiseeeee wale jamaa ni hamnazo wee assume mtu anaweka stake 100 au shilingi 20 si umavi huo
 
Mabetting yote mjini ni yangu nimeweka vijana tu wanikusanyie na nawaganyaga kweli kweli 😂 😂😂😂, nikipita kwenye thread ya wazee wa kuweka mpunga kwa ajili ya kubashiri huwa nacheka kihindi kweli kweli 🤣🤣🤣🤣🤣

View: https://youtu.be/Fkk9DI-8el4?si=OiEX0pOX2t39vvar
Hapa nilikuwa kwenye interview moja skiza cheko langu hapa nilikuwa namzungumzia jamaa mmoja aliyebet pesa ya kununulia dawa halafu jamaa alikuwa na tumbo la kuhara 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom