FatherOfAllSnipers
JF-Expert Member
- Mar 13, 2019
- 1,692
- 4,442
Wewe fanya tu cha muhimu biashara hiyo ina hela?Tangu nimalize masomo ya elimu yangu mwaka juzi nimekuwa nyumbani tu bila shughuli yoyote.
Kwenye tembea tembea nimefikiria nianze kuuza ile miwa ya kukata na kuweka kwenye vifuko.
Kuna mtu amewahi kuifanya hapa anipe uzoefu kidogo?
Tangu nimalize masomo ya elimu yangu mwaka juzi nimekuwa nyumbani tu bila shughuli yoyote.
Kwenye tembea tembea nimefikiria nianze kuuza ile miwa ya kukata na kuweka kwenye vifuko.
Kuna mtu amewahi kuifanya hapa anipe uzoefu ki
Skills unazo za kumenya na kukata miwa? Pia jitahidi kutafuta location iliyo na population kubwa ya watuTangu nimalize masomo ya elimu yangu mwaka juzi nimekuwa nyumbani tu bila shughuli yoyote.
Kwenye tembea tembea nimefikiria nianze kuuza ile miwa ya kukata na kuweka kwenye vifuko.
Kuna mtu amewahi kuifanya hapa anipe uzoefu kidogo?
Toa namba yako nikurushie mtaji wa 2m TZS hope itasaidia. Maisha ni kusaidianaTangu nimalize masomo ya elimu yangu mwaka juzi nimekuwa nyumbani tu bila shughuli yoyote.
Kwenye tembea tembea nimefikiria nianze kuuza ile miwa ya kukata na kuweka kwenye vifuko.
Kuna mtu amewahi kuifanya hapa anipe uzoefu kidogo?
Usafi wa mwili au roho?Kikubwa mtaji, usafi, na eneo
[emoji39][emoji16][emoji16][emoji28]Toa namba yako nikurushie mtaji wa 2m TZS hope itasaidia. Maisha ni kusaidiana
Kikubwa mtaji, usafi, na eneo
Mwili na eneoUsafi wa mwili au roho?