Mwizukulu mgikuru
JF-Expert Member
- Oct 21, 2021
- 5,715
- 13,739
Hii nchi ajira zilikuwepo alieharibu kilakitu ni yule mwanakwenda laanatullah...msomi anauza miwa😓😓....msomi anafanya kazi za ndani...mwenyezi mungu sijui atamuweka wapi yule jamaa...hata moto wa jahannamu haumtoshi..