Hii nchi ajira zilikuwepo alieharibu kilakitu ni yule mwanakwenda laanatullah...msomi anauza miwa๐๐....msomi anafanya kazi za ndani...mwenyezi mungu sijui atamuweka wapi yule jamaa...hata moto wa jahannamu haumtoshi..
Mkuu kwa nini usiuze maji ya kwenye madumu kuliko muwa ?
Kuna eneo kunaitwa kibamba nimewahi fika kwa ndugu yangu yani maji ni shida sana.
Nilienda 2014, kama hawajapelekewa maji nenda kasavei uanzishe hoo biashara.