Wakuu nina bachelor degree ya mechanical engineering natafuta kazi

Wakuu nina bachelor degree ya mechanical engineering natafuta kazi

Dah hadi mechanical wanatafuta ajira humu ...kweli hali ni mbaya


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Naombeni ush
Dah hadi mechanical wanatafuta ajira humu ...kweli hali ni mbaya


Sent from my iPhone using JamiiForums
mkuu kweli hali sio nzuri sana..ila kuileta hii changamoto yangu humu jamii forum sio ajabu sana humu kuna watu wakila aina ,,huwez jua nan anaweza kuona akanionesha njia yakupita.
 
Tafuta vijana wenzako wawili au watatu waliosoma Mechanical kama wewe tengenezeni kikundi kidogo cha ujasiliamali mkiwa na malengo ya kufungua kampuni hapo baadaye alfu anzeni shughuli ndogo tu ya ujasiriamali kuna fursa nyingi za kutosha zinazoendana na taaluma yako

Hili ni wazo mbadala

Kila la heri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tafuta vijana wenzako wawili au watatu waliosoma Mechanical kama wewe tengenezeni kikundi kidogo cha ujasiliamali mkiwa na malengo ya kufungua kampuni hapo baadaye alfu anzeni shughuli ndogo tu ya ujasiriamali kuna fursa nyingi za kutosha zinazoendana na taaluma yako

Hili ni wazo mbadala

Kila la heri

Sent using Jamii Forums mobile app
Nashkuru kwa ushauri wako mzuri mkuu,..ila kama ikipatikana kazi ya fani yangu husika niweze kujitafuta na kujipanga kama kijana ninaeanza maisha itakua poa zaidi.
 
kijana elezea experience yako ni ya kazi zipi.
Mechanical ni pana sana lazima uwe umejikita kwe sub areas ambazo ulizipitia kwenye mambo ya kazi au maeneo ambayo upo competent.
ukiweza kujieleza hivyo itakuwa rahisi watu kuchekecha na kukushauri mahali pa kwenda kuomba kazi.
Wakuu mimi ni kijana wa kitanzania na mwenzenu humu kwa miaka mingi kidogo nina bachelor ya mechanichal engineering pia nipo registered na erb natafuta kazi wakuu associated na fani yangu husika,..kama kuna mkuu yeyote yupo sehemu wanauhitaji huu au anaweza nisaidia natanguliza shukrani nyingi kwake..



Update

Wakuu bado lengo langu kuu la kuja kwenu na uzi huu halijatimia.
Kama kuna mkuu yeyote anaweza nisaidia kupata kazi ya fani yangu husika au kunionesha njia ya kupita kufikia lengo lngu husika natanguluza shukrani nyingi kwake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah hadi mechanical wanatafuta ajira humu ...kweli hali ni mbaya


Sent from my iPhone using JamiiForums
Kwa wale wa sociology, hrm,law,accounts, political science, public administration, bba,procurement, marketing, public relation,nk itakuwa mbaya Mara mia
 
Back
Top Bottom