Habari ya leo boss,tuna hitaji watu wa sales and marketing officers tuma CV zako kwa email hii geofrewille@gmail.comSalamu nyingi kwenu wakuu,
Mimi ni kijana mwenye elimu ngazi ya degree na pia Nina uzoefu wa Mwaka 1 kwenye banking and finance. Naomba msaada wenu ili nipate kazi iwe kwenye taasisi, shirika au kampuni au mahali pengine popote iwe kwenye stores, marketing, customer services department au nafasi nyingine kulingana na uhitaji. Nipo Arusha.
Natanguliza shukrani na MUNGU awabariki sana.
Asante.Habari ya leo boss,tuna hitaji watu wa sales and marketing officers tuma CV zako kwa email hii geofrewille@gmail.com
Isije kuwa ni kutembeza vyombo na masufulia barabaraniHabari ya leo boss,tuna hitaji watu wa sales and marketing officers tuma CV zako kwa email hii geofrewille@gmail.com
Asante sana mkuu
Sawa inawezekana ni hivyoisije kuwa ni kutembeza vyombo na masufulia barabarani
Lakini nayo ni kaziisije kuwa ni kutembeza vyombo na masufulia barabarani
Ni kazi sawaLakini nayo ni kazi
Anaweza kuanza akaajiriwa, akipata experience na mtaji then ajiajiriNi kazi sawa
Lakini haina masirahi hata kidogo
Bora uazime pesa uanze kuuza vyako mwenyewe
Angalia website ya chuo cha nelson mandela niliona kazi zenuSalamu nyingi kwenu wakuu,
Mimi ni kijana mwenye elimu ngazi ya degree na pia Nina uzoefu wa Mwaka 1 kwenye banking and finance. Naomba msaada wenu ili nipate kazi iwe kwenye taasisi, shirika au kampuni au mahali pengine popote iwe kwenye stores, marketing, customer services department au nafasi nyingine kulingana na uhitaji. Nipo Arusha.
Natanguliza shukrani na MUNGU awabariki sana.
Asante mkuuAngalia website ya chuo cha nelson mandela niliona kazi zenu