Wakuu nina wazo

Asee huo ujasiri wa kuchezea pesa Kwa wanawake mnatoaga Wapi?, Mimi hata niwe na pesa nyingi kama bilgert siwezi kuhonga kirahisi rahisi na ovyo ovyo.

Napohesabu pesa zangu najiskia raha kuliko kusex na kuliko kuwa na Dem

Hivi unaongaje Dem pesa ili umle? Kwanini usiliwe wewe ili hizo pesa uchukue wewe
 
Mkuu,

Nakuelewa sana ila hapo "uliwe wewe" pako vipi hapo?

Unaliwaje mtu mwanamme kwa mfano?
 
Mkuu,

Nakuelewa sana ila hapo "uliwe wewe" pako vipi hapo?

Unaliwaje mtu mwanamme kwa mfano?
Nataka nimdhihirishie ni Kwa jinsi gani mtu mwenye uchungu na pesa zake ilivyo vigum kumhonga mwanamke kama jinsi ilivyo ngumu Kwa ngamia kupenya kwenye tundu la sindano
 
Nataka nimdhihirishie ni Kwa jinsi gani mtu mwenye uchungu na pesa zake ilivyo vigum kumhonga mwanamke kama jinsi ilivyo ngumu Kwa ngamia kupenya kwenye tundu la sindano
Mkuu,

Kwa hiyo wewe ni bora uliwe ili upewe pesa kuliko kumuhonga mwanamke umle?
 
Nyie wanaume muwe mnadate na watu wa class na size yenu, sio kukurupukaa.
Tumeshachoka kusikiliza kero zenu hapa, mxxxiiiieeew
Mwanamke awe wa maisha ya chini kama akutaki anaweza kukuomba umjengee nyumba, na mwanamke mwenye pesa kama akupendi anaweza kukwambia na akakata mawasiliano bila kukufukuza kwa kukuomba vitu vya bei kubwa, kwa hiyo unavyosema atafute mwanamke wa saizi yake sijajua unamaanisha nini, Kuna Mtoto wa Marehemu Rais wa awamu ya pili Mwinyi Binti yake aliolewa na Muuza Michele solo la kusutu, je Je huyo muuza Mchele sokoni na Binti wa Raisi ni saizi yake?
Mwanaume aliyekamili ana mtongoza mwanamke yoyote bila kuangalia huyo mwanake ana maisha ngani yawe mazur au magumu.
 
Hivi mkuu ndio hujawahi ona kabisa makamanda wanapoandika 'KATAA MBUSUSU TUNZA KIBUNDA CHAKO' au ndio unaamua tu kukuza shingo?
 
Mgonge mara ya mwisho akuachie gono
 
Kwamba ukirudi kumgonga tena ndo utakuwa umemkomoa? Wanaume bana🤔
 
Wanawake wakae na k zao na sisi tukae na vibunda vyetu tuone nani atamfata mwenzie.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…