Wakuu nina wazo

Wakuu nina wazo

Mimi nilisema chumbieni binti anaekaa kwao. Unaona madhara ya kuchumbia hawa wanajiita wapambanaji... Wadangan5in disguise
Eti leo na wanawake wanamchunguza mwanaume wa kuolewa nae, mie nakua nakumbuka unataka peleka posa sehemu ni mwanaume mwenye jukumu la kumchunguza unaetaka kumuona, leo na wao wanachunguza wa kumuoa...tumefikia kubaya sana afu humu tunachukulia poa tu kumbe tunajibishana na mikahaba na watoto wasojielewa wanajaa tu, mwanamke kwanza anatakiwa kuolewa akiwa bikra mengine tunasaidiana tu.
 
Ila wanawake akili zao wanazijua wenyewe. Yani mtu hela ya kula hana, ila anataka kuwekeza 2m kwenye iphone ili akapige picha chooni aonyeshe macho ma3. Izo ni akili au matope..?
Wataendelea kuliwa sana na wahuni wa mjini.....then umri ukishaenda anakutana na Descent Boy kwenye duka lake la nguo anamnyemelea amuoe.......msela naye ana mega kisela anasepa Vilio zinaanza
 
Mimi nilisema chumbieni binti anaekaa kwao. Unaona madhara ya kuchumbia hawa wanajiita wapambanaji... Wadangan5in disguise
I can certainly say 98% ya wanawake waliopanga hawalipi kodi za jasho lao.

Yes they are hard working lakini linapokuja swala la Kodi bora waliwe na waume za watu au Babu wastafu.
Hili nasema kwa uhakika wala sibahatishi na sijatumwa.
 
Wataendelea kuliwa sana na wahuni wa mjini.....then umri ukishaenda anakutana na Descent Boy kwenye duka lake la nguo anamnyemelea amuoe.......msela naye ana mega kisela anasepa Vilio zinaanza
Hua inafurahisha sana ukikutana nao kipindi icho anakuhadithia kwa uchungu jinsi ambavyo wanaume wamemtenda. Na wewe unajidai kumuonea huruma na kumbembeleza, huku ukiwalaani wanaume waliomuumiza na kumtelekeza. Kumbe na wewe unataka upige ulale mbele kwa speed ya jet 🤣🤣
 
Si tumekubaliana Haki sawa na Wajibu sawa 50/50?
Hapana hii haki sawa yenu ni ya mchongo, mbona kazi za nyumbani na kulea watoto hadi leo bado mnaona ni majukumu ya wanawake, bado tena mwanamke anatakiwa amtii mwanaume halafu mnasema ni haki sawa na wajibu sawa
 
Nipo na mahusiano na binti mmoja mrembo tu. Tukaanza mahusiano tatzo yule binti anaonekana yupo kimaslahi. Pesa za matumizo huwa nina mpa japo ana kiajira chake.

Siku moja tumepanga meeting somewhere in sinza binti akaja but anaonekana ayupo oky halafu yupo bize na simu.

Nikamuuliza vipi mbona kama aupo sawa akasema yupo oky but 4sure hakuwa sawa. Yani tupo wote lakini akili yake ipo kwengine bac akaagiza msosi akala akasema anawahi home nikamwabia sawa. Nikampa pesa kidogo akaondoka baadae akanitumia txt kuwa kuna kitu anataka tuzungumze nikamwambia sawa.

Usiku wake akaniambia kodi imeisha pia simu yake ya iphone x imeishiwa betri na ataki tena simu hiyo lengo lake ni kufanya top up apate simu nyingine nkamwambia sawa bac tutachek.

Ila baada ya hapo huyo demu amekuwa ayuko happy juzi kati tena kanikumbusha nikamwambia saiz bado sipo fresh nina majukumu kidogo yamenibana akaanza kuongea vitu vingi kwamba sijawahi mfanyia chochote kikubwa nikamwambia mbona unaharaka mahusiano yetu mbona bado machanga una haraka gani.

Basi yakaisha ila toka siku hiyo huyo dem kabadilika juzi aliniambia hana nauli ya kwenda job nikamtumia 30k hata ahsante akusema nikishawahi kumgegeda mara moja na kiukweli nilikuwa na mipango ya yeye kumfanya kama mchumba wangu ila kanishinda saiz atuongei na kwa kweli kumuacha hv siwezi sababu ni gold diger naona nijirudi kwake kwa kumuahidi kodi upya kwake nimgonge mara ya mwisho halafu namdump mazima. Japo sikuwa na lengo hilo ila ngoja nimkomoe.
Utelezi! Utelezi! Utelezi! Ndio chanzo cha matatizo yote
 
Kaka mi pia nikipata pesa itakua mdada akikubali tu kuja date anaondoka na pesa kidogo.

Hili funzo kubwa sana kwangu

Kuhusu shemeji yetu sioni kama una haja ya kumbandua tena.
Hapana huyo amjaze kwenye 18 kwa kumtamanisha pesa akija geto kufuata unamtilia vidonge kwenye kinywaji unamtumia njia zote huku unamrekodi halafu unazichukua hizo pesa zako
 
Nipo na mahusiano na binti mmoja mrembo tu. Tukaanza mahusiano tatzo yule binti anaonekana yupo kimaslahi. Pesa za matumizo huwa nina mpa japo ana kiajira chake.

Siku moja tumepanga meeting somewhere in sinza binti akaja but anaonekana ayupo oky halafu yupo bize na simu.

Nikamuuliza vipi mbona kama aupo sawa akasema yupo oky but 4sure hakuwa sawa. Yani tupo wote lakini akili yake ipo kwengine bac akaagiza msosi akala akasema anawahi home nikamwabia sawa. Nikampa pesa kidogo akaondoka baadae akanitumia txt kuwa kuna kitu anataka tuzungumze nikamwambia sawa.

Usiku wake akaniambia kodi imeisha pia simu yake ya iphone x imeishiwa betri na ataki tena simu hiyo lengo lake ni kufanya top up apate simu nyingine nkamwambia sawa bac tutachek.

Ila baada ya hapo huyo demu amekuwa ayuko happy juzi kati tena kanikumbusha nikamwambia saiz bado sipo fresh nina majukumu kidogo yamenibana akaanza kuongea vitu vingi kwamba sijawahi mfanyia chochote kikubwa nikamwambia mbona unaharaka mahusiano yetu mbona bado machanga una haraka gani.

Basi yakaisha ila toka siku hiyo huyo dem kabadilika juzi aliniambia hana nauli ya kwenda job nikamtumia 30k hata ahsante akusema nikishawahi kumgegeda mara moja na kiukweli nilikuwa na mipango ya yeye kumfanya kama mchumba wangu ila kanishinda saiz atuongei na kwa kweli kumuacha hv siwezi sababu ni gold diger naona nijirudi kwake kwa kumuahidi kodi upya kwake nimgonge mara ya mwisho halafu namdump mazima. Japo sikuwa na lengo hilo ila ngoja nimkomoe.
Unaibiwa
 
Naomba namba yake.
Mm nitakuwa nampa pesa wewe unakuwa unamnyandua tu.

Nataka kukupa relief kijana inaonekana uchumi wako haupo stable na kunyandua unapenda.
Vizuri ni gharama ndio maana wenzio wengi huamua kupiga nyeto sio kwa kupenda ila ni kwa kutopenda kuhonga.
 
Back
Top Bottom