Habari za asubuhi wadau wa Afya, natumaini mko salama.
Niende straight kwenye mada.
Mwanangu wa kike anaumri wa miezi mi4, sasa takribani mwezi na wiki2 zilizopita alitokewa na vipele kama vi4 chini ya kwapa kuelekea mgongoni.
Vipele hivyo ni kama vimevujia damu na chaajabu havimuumi ila kama vinaongezeka. Kuna mdau nilimuuliza akaniambia huenda ni Hemangioma sijui. Sasa Nilivyogoogle nimeona picha za ajabu na nimepaniki sana. Awali tulikua tunajua vitaisha vyenyewe.
Naomba ushauri kwa maspecialist wa watoto na kama kuna tiba au namna yoyote ya kurudisha hali ya zamani.
Natanguliza shukran zangu za dhati.
Niende straight kwenye mada.
Mwanangu wa kike anaumri wa miezi mi4, sasa takribani mwezi na wiki2 zilizopita alitokewa na vipele kama vi4 chini ya kwapa kuelekea mgongoni.
Vipele hivyo ni kama vimevujia damu na chaajabu havimuumi ila kama vinaongezeka. Kuna mdau nilimuuliza akaniambia huenda ni Hemangioma sijui. Sasa Nilivyogoogle nimeona picha za ajabu na nimepaniki sana. Awali tulikua tunajua vitaisha vyenyewe.
Naomba ushauri kwa maspecialist wa watoto na kama kuna tiba au namna yoyote ya kurudisha hali ya zamani.
Natanguliza shukran zangu za dhati.