Mad Max
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 26,961
- 77,890
Akiwa wa kiume muite Jaden.Kimoja hafifu bhn
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akiwa wa kiume muite Jaden.Kimoja hafifu bhn
Ww andaa nepi tuu hakuna cha mstari kufifia wala nini. Baba mwenye mzigo yupo au amekimbia majukumu?Kivipi wakati mstari umefifia
Kwamba mwanaume mwenye mzigo amekimbia ametuachia sisi wanyonge tulee bao lake 😂Single mother mpya mtaani.
Au ampe jina la Yesu, mana wanawake wakishakimbiwa na wanaume waliowapa mimba wanaanza kudai hii n baraka kutoka kwa Bwana Yesu.Akiwa wa kiume muite Jaden.
Hahaha nimecheka hawezi kuwa single motherSingle mother mpya mtaani.
Yupo ila taarifa hana tutambebesha kwa nguvuWw andaa nepi tuu hakuna cha mstari kufifia wala nini. Baba mwenye mzigo yupo au amekimbia majukumu?
Kama alikaza taco wakati wa kumwagia ndani atakubali tuu hakuna namnaYupo ila taarifa hana tutambebesha kwa nguvu
RITA wanataka aandike jina la ukoo "Hajulikani"Au ampe jina la Yesu, mana wanawake wakishakimbiwa na wanaume waliowapa mimba wanaanza kudai hii n baraka kutoka kwa Bwana Yesu.
Hii mbaya, hawa watoto ndo wanakuja kuwa watekaji na wauaji wakishajiunga na sisi emuRITA wanataka aandike jina la ukoo "Hajulikani"
🤣🤣 Aisee🙌🙌Imejaa tele kama pishi la mchele mkoani ukerewe alipopapenda kabelele na mahele walikula na matembele ya njegere na za mbwa kengele wakapata upele kwenye wezere
Unamuwekea gundu dogo tokea day 1Hii mbaya, hawa watoto ndo wanakuja kuwa watekaji na wauaji wakishajiunga na sisi emu
Bora aandike hata jina la baba ni mgomba kuliko hajulikaniUnamuwekea gundu dogo tokea day 1
Kwani nwenye mzigo akiukataa mtamfanya nn?Hahaha nimecheka hawezi kuwa single mother
Ngoja amkatae uone ..tuna mteka alafu tunasingizia uchaguzi 😀😀😀😀😀😀😁😁😁😁😁Kwani nwenye mzigo akiukataa mtamfanya nn?
Anza Clinic DadaWakuu nisaidieni hivi hapo mimba itakuwepo au haipo?
View attachment 3099947
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Imejaa tele kama pishi la mchele mkoani ukerewe alipopapenda kabelele na mahele walikula na matembele ya njegere na za mbwa kengele wakapata upele kwenye wezere
Fiesta ImoooooooooWakuu nisaidieni hivi hapo mimba itakuwepo au haipo?
View attachment 3099947