Wakuu nisaidieni mke

Hii hali humtokea kila mtu baada ya kupiga punyeto lazima ujutie najua niege zikiota tena utasahau utajilipua halaf ukimaliza shetani anakuja kukumbusha ulivyofala
Kama weae ni kijana mpiga nyeto alafu ukimaliza unajutia, basi bado upo levels za chini. Sie konki masters ukimaliza bao la kwanza unaenda upasha tena mlenda ili upige na cha pili ukalale vizuri🤣🤣🤣🤣
 
Msio na wake mnataka kuoa, wenye wake tunatamani kuwaacha.

Huna hata mia mia za kununua warembo?
 
Pole mkuu mbona wanawake wako wengi tu mtaani!
 
Bora utafute hata danga huko mtaani uishi nalo huku unajua kabisa mke wangu ni danga kuliko kupoteza muda wako kutafuta mke mtandaoni utakuja kulia sana. Shauri yako
 
Njoo nikugawie michepuko mkuu, imenizidi nguvu; muhimu uweze kumtunza yeye na watoto wake
 
nakutumia namba ya mmoja ana zinga la shepu. anataka mume. ni mzuri wa sura na tabia. alishachoka kudanga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…