Wakuu nisaidieni tiba ya makelele masikioni.

Wakuu nisaidieni tiba ya makelele masikioni.

Stability

JF-Expert Member
Joined
Jan 30, 2020
Posts
306
Reaction score
706
Sasa imekuwa too much yani mivumo na sauti za kengele , muda mwingine masikio yanawasha muda mwingine una hisi masikio kama yamejaa.

Uliwahi kupata hii hali? Tusaidiane namna uliyoweza kujinasua.
 
Back
Top Bottom