Wakuu physics inatanua ubongo

Wakuu physics inatanua ubongo

Baada ya kumaliza shahada yangu ya uhandisi sasa hivi siwazi kusoma kitu kingine zaidi ya sheria tu,natumia mda mwingi kuongeza maarifa kwenye sheria Labor law ,Tax Law na masheria mengine mengi .
We have the same passion bro.. Hapa Bongo kuna Chuo gani kinatoa angalau cheti cha sheria .. masomo kwa Njia ya Mtandao.
 
Kwa wale mnaopenda kuelewa na kuchunguza mambo, hasa hasa kama ulisoma physics advance,

Mimi ni msomaji mzuri wa vitabu, hii ndio starehe yangu, ila sikuwahi kujua kuwa PHYSICS ni somo tamu sana maana nilikuwa nikilisoma kwa kukalili ilimradi nifaulu tu,

Basi juzi kati nimemkuta dogo mmoja ameshikilia kitabu cha physics maarufu kama ABBOT (niliwahi kukitumia enzi hizo ila kimagumashi kwa kukalili na kusolve vijimaswali) nilimuomba akaniazimisha nkawa nmehamasika kujua betri inatengenezwa vipi, na inafanyaje kazi,

Aisee nmejikuta nasoma karibia kitabu chote kuanzia current electricity, wave motion, light, electromagnetism n.k
Dogo kachukua kitabu chake nkaona isiwe tabu acha nizame mtandaoni nkapakua kitabu kimoja kinaitwa UNIVERSITY PHYSICS AND MODERN PHYSICS,

Nnmeanza na topic inaitwa ELECTRIC CURRENT yaani wakuu it is very interesting kitabu kinanihamasisha nisome zaidi na zaidi 😄😄😄 alafu kumbe kutengeneza umeme au betri sio kazi ngumu endapo utakuwa na material kidogo pamoja na kemikali,

Wakuu hebu jaribuni kusoma tena physics it is very interesting.
Hahahah Mkuu angalia usijebutuka na umeme kwa personal reading ya physics
 
Hahahah Mkuu angalia usijebutuka na umeme kwa personal reading ya physics
😄😄😄😄
Aliyegundua betri anaitwa Alesandro Volta, huyu mwamba alitestia kugusa nyaya akaligwa shoti kidogo akajua ahh kumbe amefanikiwa kuzalisha umeme
 
Nimecheka sana.😀😀😀 Kama nakuona ukisoma na kujisemea "kuumbe!" Dogo atakuwa anajiuliza huyu braza vipi na maabbot!
 
😄😄😄😄
Aliyegundua betri anaitwa Alesandro Volta, huyu mwamba alitestia kugusa nyaya akaligwa shoti kidogo akajua ahh kumbe amefanikiwa kuzalisha umeme
😁 ila sio kwa umeme wetu wa kibongo bongo shoti moja tu kifo!!! Mazima
 
Nimecheka sana.😀😀😀 Kama nakuona ukisoma na kujisemea "kuumbe!" Dogo atakuwa anajiuliza huyu braza vipi na maabbot!
😄😄😄😄😄
Kuna mtu alinikuta nasoma nmekaa nje nmetulia akashangaa sana, kumbe nayeye ni mdau alisoma mininig engineering mpaka sasa ni rafiki yangu japokuwa mwanzoni hatukuwa tunaongeleshana
 
😄😄😄😄😄
Kuna mtu alinikuta nasoma nmekaa nje nmetulia akashangaa sana, kumbe nayeye ni mdau alisoma mininig engineering mpaka sasa ni rafiki yangu japokuwa mwanzoni hatukuwa tunaongeleshana
Hahaaaaa😀😀 mkakutana ma-nerd. Mi binafsi nilienjoy sana physics ya advance. Wengi wanaona physics ngumu sababu wanasoma tu notisi na kukariri. Ukiijua vizuri principal zake kwa kusoma kwenye vitabu huwezi kuiona ngumu.
 
Physics niliipenda ila necta wakaipenda zaidi....nakumbukaga ma hookslaw..archimedes principal....sijui string instrument...study of matter in relation to energy kwa kweli elimu bongo ni michosho tu,waalimu wabovu nao wanazalisha wanafunzi wabovu.
 
Nimekuja kugundua wanafunzi wanaiona physics ni ngumu kwa sababu walimu wenyewe hawaielewi, na haonwanafunzi wakipata division three wanaenda kusomea ualimu wa physics na wao watawafundisha wanafunzi kimagumashi cycle inaendelea,

Lakini wanafunzi wangekuwa wanafundishwa na watu wanaoielewa physics mbona wangelipenda somo,

Mfano mimi enzi hizo nasoma mwalimu alifundisha topic moja tu mwaka mzima
Sitaki kukumbuka mziki wa phys mie khaah, nusu niwe chizi wallah, unakomaa wee class na prepo, plus tuit ila ndan ya pepa inakukana daaah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

But JAH mkubwa na alikua upande wangu nlifanikiwa kutusua final pepa, now napamban level nyingne.

Phys ya advance hapana, [emoji119][emoji119][emoji119]
 
Hahaaaaa[emoji3][emoji3] mkakutana ma-nerd. Mi binafsi nilienjoy sana physics ya advance. Wengi wanaona physics ngumu sababu wanasoma tu notisi na kukariri. Ukiijua vizuri principal zake kwa kusoma kwenye vitabu huwezi kuiona ngumu.
Yaan watu km nyie hamkosekan lol, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Physics niliipenda ila necta wakaipenda zaidi....nakumbukaga ma hookslaw..archimedes principal....sijui string instrument...study of matter in relation to energy kwa kweli elimu bongo ni michosho tu,waalimu wabovu nao wanazalisha wanafunzi wabovu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] phys haina urafik wala mazoea, ni kukamiana mwanzo mwisho lol.
 
Hongera saaana...Hili somo hili....acha tuu..Wanaoliweza nawaheshimu sana...
 
Kwa hiyo unasoma tu kama kitabu cha history na nondo zina stick tu easily! nipe link ni download na mimi nisome tu kama wewe.
 
Back
Top Bottom