MKUYENGE
JF-Expert Member
- Jun 26, 2019
- 4,107
- 4,612
wakuu naombeni msaada wa jinsi ya kumsaidia huyu shemeji yangu mdogo wake na mme wa sister kiufupi jamaa alikuwa mzima kabisa tatizo lilimuanza mwaka jana baada ya kuanza kusoma chuo hapo Gongolamboto Kampala.
kiufupi jamaa anamatatizo ya akili ambayo yameanza kumsumbua mwaka Jana mwezi wa 6 kwao wamehangaika sana Kwa wanganga lakini akipona ni kama mwezi alafu anarudia tena hali ya kuwehuka.
hali hiyo imemplekea kushindwa kuendelea na masomo yake ya elimu ya juu.
kwao wamejaribu kuzunguka kutafuta tiba ya kila (aina) zote mnazozifahamu lakini zimeshindwa kumsaidia kabisa ata akikaa VIZURI ni kwa week au mwezi tu anachange.
kilichonisikitisha zaidi ni Leo baada ya hali yake kubadirika week iliyopita asubhi ikanibidi niende nikamjulie hali aliponiona alifurahi sana kutokana na kuwa ni washikaji tukaanza kupiga story akawa kama katulia flani akaanza kuniuliza issues za mpira league yetu EPL matokeo ya team yake pendwa Manchester city na nikwamwambia akafurahi baadae akawa anataka tuondoke wote wakati ulipofika kuwa kachoka kukaa ndani wakamkatalia infact bado hajakaa sawa jamaa alisikitika sana
akaanza kuongea maneno ya ajabu nikamtuliza akakubari niende lakini la muhimu jamaa hajapona kabisa nimeandika kwenu ili mnipe msaada wa kimawazo jinsi ya kumsaidia kama kijana mwenzetu ili arudi katika hali yake ya kawaida.
wenu mtiifu
kiufupi jamaa anamatatizo ya akili ambayo yameanza kumsumbua mwaka Jana mwezi wa 6 kwao wamehangaika sana Kwa wanganga lakini akipona ni kama mwezi alafu anarudia tena hali ya kuwehuka.
hali hiyo imemplekea kushindwa kuendelea na masomo yake ya elimu ya juu.
kwao wamejaribu kuzunguka kutafuta tiba ya kila (aina) zote mnazozifahamu lakini zimeshindwa kumsaidia kabisa ata akikaa VIZURI ni kwa week au mwezi tu anachange.
kilichonisikitisha zaidi ni Leo baada ya hali yake kubadirika week iliyopita asubhi ikanibidi niende nikamjulie hali aliponiona alifurahi sana kutokana na kuwa ni washikaji tukaanza kupiga story akawa kama katulia flani akaanza kuniuliza issues za mpira league yetu EPL matokeo ya team yake pendwa Manchester city na nikwamwambia akafurahi baadae akawa anataka tuondoke wote wakati ulipofika kuwa kachoka kukaa ndani wakamkatalia infact bado hajakaa sawa jamaa alisikitika sana
akaanza kuongea maneno ya ajabu nikamtuliza akakubari niende lakini la muhimu jamaa hajapona kabisa nimeandika kwenu ili mnipe msaada wa kimawazo jinsi ya kumsaidia kama kijana mwenzetu ili arudi katika hali yake ya kawaida.
wenu mtiifu