Ngongo
Platinum Member
- Sep 20, 2008
- 20,654
- 35,887
Wakuu heshima sana.
Huku kwetu madongo kuinama hukuna umeme.
Mitaa ya matejoo,Kambi ya Fisi,Matevesi,Olkeriani,Olkokola,Kaloleni,Ngarenaro,Daraja II,Mkonoo na vitongoji vingi hakuna umeme.
Kwakuwa Sisi waTanzania tumejaa upendo,tunawaomba wale wote waliojaliwa kumiliki majenereta wasisite kutupatia matokeo ya kombe la Dunia huko Qatar 🇶🇦.
Ikiwezekana mturushie hata tupicha.
Hongera sana Mama unaupiga mwingi.
Hongera sana Makamba JR unaupiga mwingi.
Huku kwetu haturuhusiwi kukosoa ni mwendo wa kusifu tu.
Tunaogopa sana kupopolewa na mimaneno ya Katibu Mkuu UVCCM,Kibajaji & Msukuma.
Huku kwetu madongo kuinama hukuna umeme.
Mitaa ya matejoo,Kambi ya Fisi,Matevesi,Olkeriani,Olkokola,Kaloleni,Ngarenaro,Daraja II,Mkonoo na vitongoji vingi hakuna umeme.
Kwakuwa Sisi waTanzania tumejaa upendo,tunawaomba wale wote waliojaliwa kumiliki majenereta wasisite kutupatia matokeo ya kombe la Dunia huko Qatar 🇶🇦.
Ikiwezekana mturushie hata tupicha.
Hongera sana Mama unaupiga mwingi.
Hongera sana Makamba JR unaupiga mwingi.
Huku kwetu haturuhusiwi kukosoa ni mwendo wa kusifu tu.
Tunaogopa sana kupopolewa na mimaneno ya Katibu Mkuu UVCCM,Kibajaji & Msukuma.