Wakuu ushauri wenu ni muhimu, nimefilisika

Ushauri wangu.
Kwanza sikupi pole kabisa

nachoweza kukushauri kwanza uza kiwanja then wekeza zaidi kwenye duka na jipambanue kwenye biashara ya duka zaidi na uzidi kujipa muda kwa pesa itakoyobakia kwa baada ya kuuza kiwanja then najua tu utapata wazo bora zaidi.

Usipanic jitahidi kutulia sana ikiwezekana lala mno kwa muda mrefu.

Mostly maisha ni kupambna sana bro.

Am not fit enough katika maisha lakini napenda kujipa muda kwa kila jambo .

Nakumbuka: niliwahi pita kipindi kigumu sana .
Unajua nilichokuwa nafanya.... nilikuwa mtu wa kulala sana na nikiamka Nawaza sana mostly nilikuwa najipa muda katika kila jambo.

Mpaka sasa natambua nikiwa na wakati mgumu tu lazima utaniona mtulivu sana na sinaga papara kwenye maamuzi I mean naweza chukua up a year mpaka kufikia maamuzi na nipo na malengo ya Hadi ten years .

Shemeji yenu hatambui Kama 2030 lazima nimpeleke Dubai kutembea lakini lipo kwenye mpango.

All in all nasubiri Mungu Apitishe niliwazalo na nayoyawaza.
 
Haya maisha asee Mungu asaidie, hii hali naipitia sasa hivi wakati mwaka uliopita nilikua na 7m sio nyingi ila kwangu ni nyingi, sasa hivi hata hela ya kuangalia game ya yanga kwenye kibanda umiza sina.
 
Haya maisha asee Mungu asaidie, hii hali naipitia sasa hivi wakati mwaka uliopita nilikua na 7m sio nyingi ila kwangu ni nyingi, sasa hivi hata hela ya kuangalia game ya yanga kwenye kibanda umiza sina.
Utasimama Tena, kupanda na kushuka ni kawaida kwenye maisha
 
Ilikuaje mkuu tupe mkasa
 
Kwa nilivyosoma na kuelewa .
Biashara uliyoanza nayo HAIKUWA na Misingi na Mizizi .
Niamini nikisema HAIKUWA na hivyo vitu .

Kwa ushauri wangu .
Anza Biashara moja upya na isimamie kisawasawa.
Wanawake wengi/wake zetu si wa kuwaachia biashara na wewe kupambana na Biashara nyingine.

Jipe muda wa Kuanza Biashara upya .
Nature ya maisha nayoijua ni ukipanic unaanza kurukaruka
Leo utafanya Biashara hii na kesho nyingine lakini zote hazina Misingi na Mizizi.

Be positive sana.

Pia<>
Mshirikishe mwenza wako hali halisi na kama ni mvumilivu mtaanza upya.


Usipende sana kuangalia hali halisi ya sasa.
Jifunze kuacha nature iendelee na hali itabadilika Taratibu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…