kokudo
JF-Expert Member
- Oct 26, 2010
- 2,571
- 1,760
P
Pole mkuuUnashangaa nini mbona sisi mzee wetu alikua akimiliki mpaka sheli na gereji miaka ya 90,Hajakaa vizuri akala mzinga na gari yake kwa mawazo,,hajatulia akavamiwa na majambazi risasi 4 ziliingia mwilini mwake Mungu akasaidia yuko hai mpaka leo ila kilema hapo akazidi kufilisika. japo ana pesa tudogo za kula na kuvaa lakini sio yule waliokuwa wanamfahamu uko nyuma.