Wakuu ushauri wenu

Wakuu ushauri wenu

Tajiri wa kusini

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2022
Posts
1,079
Reaction score
2,947
Wakuu naombeni mnishauri mie mdogo wenu aisee hivi ni sahihi kumuuliza mwanamke kuhusu past yake? Ila sasa baada ya kumuuliza akanijibu fresh tu ya kwamba alipigwa miti sana na mshikaji wake sasa kinachoniuma kwanini aliniambia? Si angekaa kimya tu asingeniambia angenificha Tu

Na nahofia nikimuoa huyu manzi mshikaji wake si watarudiana? Maana kuchapiwa nako wazee sio poa kabisa aisee kwahiyo nawaza nimpige chini au niendelee nae? Ila sasa huyu manzi sikumtongoza alinitafuta mwenyewe? Wala sikumtafuta mimi hiki ndio kitu ambacho mimi kinanipa amani kwamba huyu manzi ananipenda Mimi aisee
 
Wakuu naombeni mnishauri mie mdogo wenu aisee hivi ni sahihi kumuuliza mwanamke kuhusu past yake? Ila sasa baada ya kumuuliza akanijibu fresh tu ya kwamba alipigwa miti sana na mshikaji wake sasa kinachoniuma kwanini aliniambia? Si angekaa kimya tu asingeniambia angenificha Tu

Na nahofia nikimuoa huyu manzi mshikaji wake si watarudiana? Maana kuchapiwa nako wazee sio poa kabisa aisee kwahiyo nawaza nimpige chini au niendelee nae? Ila sasa huyu manzi sikumtongoza alinitafuta mwenyewe? Wala sikumtafuta mimi hiki ndio kitu ambacho mimi kinanipa amani kwamba huyu manzi ananipenda Mimi aisee
Muhimu anakupea mbususu unagegeda. Mambo ya kumpangia matumizi wakati mbususu ninyake huo ni umama
 
Wala sikumtafuta mimi hiki ndio kitu ambacho mimi kinanipa amani kwamba huyu manzi ananipenda Mimi aisee
Kosa kubwa sana kuna kitu anakifuata kwako akishakipata umekwisha utageuka mwehu, kamsome yule MC wa kiislamu anaejifanya mchungaji wa kule fb sijui lpt sijui ipt utajifunza jambo, uke uke uke umebeba mambo mengi usiyoyaona kwa macho ndio maana unafanya kazi km kinywa chako
 
Wakuu naombeni mnishauri mie mdogo wenu aisee hivi ni sahihi kumuuliza mwanamke kuhusu past yake? Ila sasa baada ya kumuuliza akanijibu fresh tu ya kwamba alipigwa miti sana na mshikaji wake sasa kinachoniuma kwanini aliniambia? Si angekaa kimya tu asingeniambia angenificha Tu

Na nahofia nikimuoa huyu manzi mshikaji wake si watarudiana? Maana kuchapiwa nako wazee sio poa kabisa aisee kwahiyo nawaza nimpige chini au niendelee nae? Ila sasa huyu manzi sikumtongoza alinitafuta mwenyewe? Wala sikumtafuta mimi hiki ndio kitu ambacho mimi kinanipa amani kwamba huyu manzi ananipenda Mimi aisee
Mkuu ni sahihi kumuuliza mtu past yake hata usijali, past ya mtu itakusaidia wewe kumjua vyema kikubwa uwe tayari kwa kuhadithiwa lolote na aidha kukubaliana nalo ama kutokubaliana nalo kutokana na vipimo vyako, maana usipokuwa na vipimo basi jua we ni tatizo!.
 
Wakuu naombeni mnishauri mie mdogo wenu aisee hivi ni sahihi kumuuliza mwanamke kuhusu past yake? Ila sasa baada ya kumuuliza akanijibu fresh tu ya kwamba alipigwa miti sana na mshikaji wake sasa kinachoniuma kwanini aliniambia? Si angekaa kimya tu asingeniambia angenificha Tu

Na nahofia nikimuoa huyu manzi mshikaji wake si watarudiana? Maana kuchapiwa nako wazee sio poa kabisa aisee kwahiyo nawaza nimpige chini au niendelee nae? Ila sasa huyu manzi sikumtongoza alinitafuta mwenyewe? Wala sikumtafuta mimi hiki ndio kitu ambacho mimi kinanipa amani kwamba huyu manzi ananipenda Mimi aisee
Umemuuliza past yake kakwambia
Halafu unajiuliza kwanini kwakwambia tena? Kumbe wanaume pia hamjui nini mnataka
 
Una miaka mingapi kwanza? Yani unamuuliza mtu swali halafu unaumia tena😂😂

Angekaa kimya ungekuja na thread hapa dem wako hakuheshimu ukimuuliza anakaa kimya au anadanganya.

Pia una insecurity ya halo ya juu mno, hio inatosha kuchapiwa maana hakuna mwanamke anapenda kuwa na mtu weak kama wewe
 
Wakuu naombeni mnishauri mie mdogo wenu aisee hivi ni sahihi kumuuliza mwanamke kuhusu past yake? Ila sasa baada ya kumuuliza akanijibu fresh tu ya kwamba alipigwa miti sana na mshikaji wake sasa kinachoniuma kwanini aliniambia? Si angekaa kimya tu asingeniambia angenificha Tu

Na nahofia nikimuoa huyu manzi mshikaji wake si watarudiana? Maana kuchapiwa nako wazee sio poa kabisa aisee kwahiyo nawaza nimpige chini au niendelee nae? Ila sasa huyu manzi sikumtongoza alinitafuta mwenyewe? Wala sikumtafuta mimi hiki ndio kitu ambacho mimi kinanipa amani kwamba huyu manzi ananipenda Mimi aisee
At least umepata new experience so next time hauwezi kurudia tena hiko ulichofanya na hiyo ndio tunaita maisha dogo.
 
Back
Top Bottom