Donatila
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,772
- 22,598
Mguu Chaga mguu netibado sijaelewa fafanua kinagaubaga..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mguu Chaga mguu netibado sijaelewa fafanua kinagaubaga..
Shukuru sana Mungu kakuambia ukweli na ni ujumbe pia kwamba nawe umpige miti pro max.. Ila baadhi ya wanawake😂🙌🏿🙌🏿🙌🏿Wakuu naombeni mnishauri mie mdogo wenu aisee hivi ni sahihi kumuuliza mwanamke kuhusu past yake? Ila sasa baada ya kumuuliza akanijibu fresh tu ya kwamba alipigwa miti sana na mshikaji wake sasa kinachoniuma kwanini aliniambia? Si angekaa kimya tu asingeniambia angenificha Tu
Na nahofia nikimuoa huyu manzi mshikaji wake si watarudiana? Maana kuchapiwa nako wazee sio poa kabisa aisee kwahiyo nawaza nimpige chini au niendelee nae? Ila sasa huyu manzi sikumtongoza alinitafuta mwenyewe? Wala sikumtafuta mimi hiki ndio kitu ambacho mimi kinanipa amani kwamba huyu manzi ananipenda Mimi aisee
una umri wa miaka mingapi? ushauri naotaka kutoa unategea age yakoWakuu naombeni mnishauri mie mdogo wenu aisee hivi ni sahihi kumuuliza mwanamke kuhusu past yake? Ila sasa baada ya kumuuliza akanijibu fresh tu ya kwamba alipigwa miti sana na mshikaji wake sasa kinachoniuma kwanini aliniambia? Si angekaa kimya tu asingeniambia angenificha Tu
Na nahofia nikimuoa huyu manzi mshikaji wake si watarudiana? Maana kuchapiwa nako wazee sio poa kabisa aisee kwahiyo nawaza nimpige chini au niendelee nae? Ila sasa huyu manzi sikumtongoza alinitafuta mwenyewe? Wala sikumtafuta mimi hiki ndio kitu ambacho mimi kinanipa amani kwamba huyu manzi ananipenda Mimi aisee
huu nao ni mpya au nije pm unifafanulie vyema huenda hapa unaogopa kusema kitoto cha watu...🤣Mguu Chaga mguu neti
Wengi hutegemea majibu hayaUmemuuliza past yake kakwambia
Halafu unajiuliza kwanini kwakwambia tena? Kumbe wanaume pia hamjui nini mnataka
Nilijua tuu😂🙌🏿🏃🏿huu nao ni mpya au nije pm unifafanulie vyema huenda hapa unaogopa kusema kitoto cha watu...🤣
Kaka usinipeperushie valentine wangu...🤣Nilijua tuu😂🙌🏿🏃🏿
Wakuu naombeni mnishauri mie mdogo wenu aisee hivi ni sahihi kumuuliza mwanamke kuhusu past yake? Ila sasa baada ya kumuuliza akanijibu fresh tu ya kwamba alipigwa miti sana na mshikaji wake sasa kinachoniuma kwanini aliniambia? Sangekaa kimya tu asingeniambia angenificha Tu
Na nahofia nikimuoa huyu manzi mshikaji wake si watarudiana? Maana kuchapiwa nako wazee sio poa kabisa aisee kwahiyo nawaza nimpige chini au niendelee nae? Ila sasa huyu manzi sikumtongoza alinitafuta mwenyewe? Wala sikumtafuta mimi hiki ndio kitu ambacho mimi kinanipa amani kwamba huyu manzi ananipenda Mimi aisee
Basi poa blaza ukikwama nipo👌🏿😀Kaka usinipeperushie valentine wangu...🤣
Nikikwama utamtupia kale ka jini kamoja kamcharue kidogo..😂Basi poa blaza ukikwama nipo👌🏿😀
Imeisha Iyo💪🏿😂Nikikwama utamtupia kale ka jini kamoja kamcharue kidogo..😂
Nguvu ya kujua ni mbaya sana aisee nasumbuliwa sana sijui nifanyeje ili niiacheNguvu ya kujua
kosa la tatu
Mshana mimi mdogo wako nahitaji ushauri wakoImeisha Iyo💪🏿😂
Miaka 28una umri wa miaka mingapi? ushauri naotaka kutoa unategea age yako
huyo mdada yuko very honest, endelea naye pls, labda kuwe na sababu nyingineM
Miaka 28