Mguu Chaga mguu netibado sijaelewa fafanua kinagaubaga..
Shukuru sana Mungu kakuambia ukweli na ni ujumbe pia kwamba nawe umpige miti pro max.. Ila baadhi ya wanawake๐๐๐ฟ๐๐ฟ๐๐ฟWakuu naombeni mnishauri mie mdogo wenu aisee hivi ni sahihi kumuuliza mwanamke kuhusu past yake? Ila sasa baada ya kumuuliza akanijibu fresh tu ya kwamba alipigwa miti sana na mshikaji wake sasa kinachoniuma kwanini aliniambia? Si angekaa kimya tu asingeniambia angenificha Tu
Na nahofia nikimuoa huyu manzi mshikaji wake si watarudiana? Maana kuchapiwa nako wazee sio poa kabisa aisee kwahiyo nawaza nimpige chini au niendelee nae? Ila sasa huyu manzi sikumtongoza alinitafuta mwenyewe? Wala sikumtafuta mimi hiki ndio kitu ambacho mimi kinanipa amani kwamba huyu manzi ananipenda Mimi aisee
una umri wa miaka mingapi? ushauri naotaka kutoa unategea age yakoWakuu naombeni mnishauri mie mdogo wenu aisee hivi ni sahihi kumuuliza mwanamke kuhusu past yake? Ila sasa baada ya kumuuliza akanijibu fresh tu ya kwamba alipigwa miti sana na mshikaji wake sasa kinachoniuma kwanini aliniambia? Si angekaa kimya tu asingeniambia angenificha Tu
Na nahofia nikimuoa huyu manzi mshikaji wake si watarudiana? Maana kuchapiwa nako wazee sio poa kabisa aisee kwahiyo nawaza nimpige chini au niendelee nae? Ila sasa huyu manzi sikumtongoza alinitafuta mwenyewe? Wala sikumtafuta mimi hiki ndio kitu ambacho mimi kinanipa amani kwamba huyu manzi ananipenda Mimi aisee
huu nao ni mpya au nije pm unifafanulie vyema huenda hapa unaogopa kusema kitoto cha watu...๐คฃMguu Chaga mguu neti
Wengi hutegemea majibu hayaUmemuuliza past yake kakwambia
Halafu unajiuliza kwanini kwakwambia tena? Kumbe wanaume pia hamjui nini mnataka
Nilijua tuu๐๐๐ฟ๐๐ฟhuu nao ni mpya au nije pm unifafanulie vyema huenda hapa unaogopa kusema kitoto cha watu...๐คฃ
Kaka usinipeperushie valentine wangu...๐คฃNilijua tuu๐๐๐ฟ๐๐ฟ
Wakuu naombeni mnishauri mie mdogo wenu aisee hivi ni sahihi kumuuliza mwanamke kuhusu past yake? Ila sasa baada ya kumuuliza akanijibu fresh tu ya kwamba alipigwa miti sana na mshikaji wake sasa kinachoniuma kwanini aliniambia? Sangekaa kimya tu asingeniambia angenificha Tu
Na nahofia nikimuoa huyu manzi mshikaji wake si watarudiana? Maana kuchapiwa nako wazee sio poa kabisa aisee kwahiyo nawaza nimpige chini au niendelee nae? Ila sasa huyu manzi sikumtongoza alinitafuta mwenyewe? Wala sikumtafuta mimi hiki ndio kitu ambacho mimi kinanipa amani kwamba huyu manzi ananipenda Mimi aisee
Basi poa blaza ukikwama nipo๐๐ฟ๐Kaka usinipeperushie valentine wangu...๐คฃ
Nikikwama utamtupia kale ka jini kamoja kamcharue kidogo..๐Basi poa blaza ukikwama nipo๐๐ฟ๐
Imeisha Iyo๐ช๐ฟ๐Nikikwama utamtupia kale ka jini kamoja kamcharue kidogo..๐
Nguvu ya kujua ni mbaya sana aisee nasumbuliwa sana sijui nifanyeje ili niiacheNguvu ya kujua
kosa la tatu
Mshana mimi mdogo wako nahitaji ushauri wakoImeisha Iyo๐ช๐ฟ๐
Miaka 28una umri wa miaka mingapi? ushauri naotaka kutoa unategea age yako
huyo mdada yuko very honest, endelea naye pls, labda kuwe na sababu nyingineM
Miaka 28