Lancashire
JF-Expert Member
- Sep 20, 2014
- 14,057
- 10,367
Tunasubiri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu si wengine hao ndio tunawategemeaaUnawahurumia wa nini hao makada wa chama!
Wengine hawana sifa Bali walipewa fadhila!
Acha nao wakalime mananasi kama aliyekuwa boss wao
we jiandae kwa yote .. linaweza tokea loloteNawaza nipo kwa uncle hapa sijui watamng'oa na yeye....
Kamanda,kazi ya uteuzi inafanywa na rais,majaliwa anatangaza,zamani Tamisemi ilikua chini ya pm,lakini sasa ipo ikulu,ni kutumwa kazi tu na mkuu wake usiogope kamandaWaziri mkuu amepata wapi mamlaka ya kikatiba kutangaza wakuu Wa mikoa?
Mungu si athuman jina lako lawezakuwapoTupe hiyo mkuu mapema kama ikiwa kweli.
nipo kisutu hapa haya nieleze napataje data au nije lumumba uniambie uso kwa pua?Nenda kisutu utapata data zote
Dah...na haha kweli mbuyu wangu mkubwa ulikatwa....na huu nao ukatweeeeewe jiandae kwa yote .. linaweza tokea lolote
Yeah lazima uwe Na ham kazi unayoifanya sio ndogo, waweza kuwa mmoja wao, usiache kuombaTwasubiri kwa hamu
Naona hujipendi, endelea kuhoji kuhusu samakiasee nechoka sana na haya mambo mpaka saa hizi sielewi kinachoendelea kila uchao ni jambo mpya hivi wanamalizia wanachofanya ama magumash tu ?
masamaki vepee sijaskia muendelezo wa kesi yake
Pokea like 1000Unawahurumia wa nini hao makada wa chama!
Wengine hawana sifa Bali walipewa fadhila!
Acha nao wakalime mananasi kama aliyekuwa boss wao
wacha aondolewe hapa mjini aache watu wafanye kaziNimemteua makonda anaenda mkoa wa ruvuma wait and see
Miaka yote ya utumishi hana shughuli yake ambayo anaweza kusimama hapo badala ya kutegemea ajira na uzee huu?Wamkumbuke na mzee wasira ili asiendelee kupiga waandishi wa habari
Kama upo kwa makonda usiwe na hofu yeye alimchapa warioba hivyo ule mkataba wake bado haujaisha anaweza kipenya awe wa mkoa kabisawe jiandae kwa yote .. linaweza tokea lolote
Bingwa wa ku keep time leo kazingua?? Saa tano kasoro saa hizi, bado tuu?? Mwana Mpotevu BarbarosaNimepata taarifa kuwa Waziri Mkuu ameitisha mkutano na wanahabari saa nne asubuhi ofisini kwake Magogoni. Taarifa zinadai kuwa agenda kuu huenda ikawa ni kutangazazwa wakuu wapya wa mikoa.
Nitawapa taarifa hapa yatokanayo na mkutano huo soon ukimalizika maana simu huwa zinabaki getini.
Chukulia hii bado ni kama tetesi walau hadi sasa.
Nitawapeni taarifa hapahapa
Tumemtupa nje fastaNinazo taarifa kwamba Magesa Mlongo alikuwa anahaha kwa kumtumia JK. na Mwenyekiti wa CCM Wa mkoa wake ili wamuombee kwa Magufuli ili ambakize kwenye nafasi ya Mkuu wa mkoa.
ha hahahaKama upo kwa makonda usiwe na hofu yeye alimchapa warioba hivyo ule mkataba wake bado haujaisha anaweza kipenya awe wa mkoa kabisa