Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siwahurumii ng'o acha wake waonje ladha ya maisha ya ktz wsliyoyasahau wakajiona miungu watu hasa mlongonawaonea huruma watakapo toka na kukuta mjini hata dili haziendi .. pesa ngumu
Hatutaki wazee kama wasira kwa sasa wakapumzike kwao bana.Wamkumbuke na mzee wasira ili asiendelee kupiga waandishi wa habari
Hii ndio raha moja wapo ya JF. Unapata vitu hot wakati wengine wanavipata baada ya siku 3. Loading......................Nimepata taarifa kuwa Waziri Mkuu ameitisha mkutano na wanahabari saa nne asubuhi ofisini kwake Magogoni. Taarifa zinadai kuwa agenda kuu huenda ikawa ni kutangazazwa wakuu wapya wa mikoa.
Nitawapa taarifa hapa yatokanayo na mkutano huo soon ukimalizika maana simu huwa zinabaki getini.
Chukulia hii bado ni kama tetesi walau hadi sasa.
Nitawapeni taarifa hapahapa
Kuomba kwa nani? Labda kwa shetani! Kama ni kwa Mungu huyo jamaa alishajiondolea sifa hiyo kwani Mungu hasikilizi sala za waongo,wazushi na wazandiki. Na huyo jamaa sifa zote hizo anazo tena kwa kiwango cha lami.Yeah lazima uwe Na ham kazi unayoifanya sio ndogo, waweza kuwa mmoja wao, usiache kuomba
Mungu wao ni yule fisi walokuwa wakizunguka nae wakati wa kuimarisha chama,Kuomba kwa nani? Labda kwa shetani! Kama ni kwa Mungu huyo jamaa alishajiondolea sifa hiyo kwani Mungu hasikilizi sala za waongo,wazushi na wazandiki. Na huyo jamaa sifa zote hizo anazo tena kwa kiwango cha lami.
Namuona Makonda akirithi kiti cha Meck SadiqNimepata taarifa kuwa Waziri Mkuu ameitisha mkutano na wanahabari saa nne asubuhi ofisini kwake Magogoni. Taarifa zinadai kuwa agenda kuu huenda ikawa ni kutangazazwa wakuu wapya wa mikoa.
Nitawapa taarifa hapa yatokanayo na mkutano huo soon ukimalizika maana simu huwa zinabaki getini.
Chukulia hii bado ni kama tetesi walau hadi sasa.
Nitawapeni taarifa hapahapa
Kama kaka Manyerere Jackton hajasema kitu hadi sasa au Uncle Pasco hajaweka mbwembwe basi hakuna ukweli kwny hii habariNimepata taarifa kuwa Waziri Mkuu ameitisha mkutano na wanahabari saa nne asubuhi ofisini kwake Magogoni. Taarifa zinadai kuwa agenda kuu huenda ikawa ni kutangazazwa wakuu wapya wa mikoa.
Nitawapa taarifa hapa yatokanayo na mkutano huo soon ukimalizika maana simu huwa zinabaki getini.
Chukulia hii bado ni kama tetesi walau hadi sasa.
Nitawapeni taarifa hapahapa
Namuona Makonda akirithi kiti cha Meck Sadiq
Mkuu ila kipo kitu gani?kwani hukumsikia mkuu wa kaya siku alipokutana na wale wazee wa Ccm(Dsm)Hakuna kitu kama hicho.
maskini weeee duh kuna wengine watapigwa chini duh huruma
Exactly!Anastahili, anachapakazi
duh bora kukomaa na kilimo tu aiseeeUkishaingia kwenye hizi nafasi za kuteuliwa, inabidi uwe tayari kwa lolote; kupanda, kushuka au kutemwa moja kwa moja....!!
Muone hakimu mkuu mkazi mueleze shida yako atakusaidia.ni haki yakonipo kisutu hapa haya nieleze napataje data au nije lumumba uniambie uso kwa pua?