Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umekunywa chai? Hebu nijie kwa nywila, stress zako peleka hukoNyerere, Mkapa, Magufuli n.k. wote hao walikuwa walimu. Naona wewe ni mbwabwajaji kama walivyo Wabwabwajaji kama wewe.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahahahaha Mpwayungu Village anaendelea kupata point tatu kila leo za bure bure tuu…kwaajili ya wapuuzi kama hawa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23]Mpyayungu village nilikua nakuchukulia poa. Nimekosa mimi
[emoji1374][emoji1374][emoji1374]
[emoji23][emoji23][emoji23]Mpwayungu huwa namuelewaga sana [emoji14][emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mpwayungu Village bila kupitia hii mada basi itakuwa batili
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Badala ya kuandamana aondoke kwenye hicho kiti wao wanamchukulia form aendelee kuwepo hapo?
Naanza Kumuelewa mpwayungu village
Duh!!! Hili nalo lakushangaa!!Kama mdau wa Elimu na maendeleo ya kijamii, taarifa za wakuu wa shule kumchangia Mama Samia fedha za kuchukua fomu ya Urais kabla ya mchakato husika kuanza linaleta ukakasi na maswali mengi juu ya uwezo wa kupambanua mambo wa hawa viongozi walioaminiwa kusimamia elimu ya watoto wetu.
Je, kiongozi wa umma anaruhusiwa kuonyesha msimamo wake wa kisiasa hadharani?
Je, wamejuaje kama Rais Samia atagombea 2025?
Je, wana uhakika gani chama chake kitampitisha?
Kulikuwa na haraka gani kufikia hili azimio kipindi hiki ambacho hata mchakato haujaanza?
Tuamini kuwa hili nalo ni sehemu ya kujipendekeza? Kama ni kujipendekeza, wanawezaje kupandikiza ujasiri na kujiamini kwa walimu wanaowasimamia na watoto wetu? View attachment 2847719
🤣🤣Hii nchi ina watu wapumbavu sana, halafu wanauawa vijana wa watu wasio na hatia kule Israel.
Hata sijui kwanini hawakwenda hao walimu?
Kweli kabisa..Uchawa tu
Kujipendekeza
Ova
Duh!! HatariiiNdiyo maana wahitimu wengi ni tegemezi sababu ya kufundishwa na watu wapumbavu kama hawa
Kujificha kwenye kivuli cha Mwl. Nyerere na wengine hakuwafanyi walimu wote waonekane weredi. Kwa mtazamo wako, hiki walichokifanya kwa wakati huu unaona ni sahihi? Kumbuka kuwa aliyetokea mbele ya kamera ni kiongozi na anasema ni moja ya azimio la kikao chao cha TAHOSSA (Umoja wa wakuu wa shule Tanzania) na yeye ndo muweka hazina wao. Kwa lugha rahisi, Wakuu wa shule wote wamekubaliana yafuatayo kuhusu azimio hilo:-Nyerere, Mkapa, Magufuli n.k. wote hao walikuwa walimu. Naona wewe ni mbwabwajaji kama walivyo Wabwabwajaji kama wewe.
97% ya waliimu ni wajinga snDuh!! Hatariii
Ndiyo maana sikwenda kusoma ualimu, unaona walichokifanya ni sahihi?Wewe ulifundishwa na Mungu
Kwa hiyo ndugu yangu hawezi kukosa akili?Wewe katika ukoo wenu, jirani zako na hata rafiki zako hakuna wenye ndugu ambao ni walimu unavyowaita wenzako eti kukosa akili