Wakuu wa wilaya, wakuu wa mikoa na wakurugenzi matumbo joto

Wakuu wa wilaya, wakuu wa mikoa na wakurugenzi matumbo joto

Kwa hiyo unafikiri mangwini pekee ndo mnaweza kuwa viongozi? nyie fanyeni kazi zenu za utumishi za kushughulikia maslahi. Kwa sasa scientists wameshtuka wanataka washike usukani wenyewe....wamegundua ukicheka na nyani utavuna mabua.
Tatizo kubwa ni kuwa hao hawakuandaliwa kwa shughuli hizi. Migogoro imekuwa mingi Sana huko mawilayani na mikoani. Taaluma hizo nilizotaja hapo Zina uhusiano wa Moja kwa Moja na shughuli hizi.
 
Tatizo kubwa ni kuwa hao hawakuandaliwa kwa shughuli hizi. Migogoro imekuwa mingi Sana huko mawilayani na mikoani. Taaluma hizo nilizotaja hapo Zina uhusiano wa Moja kwa Moja na shughuli hizi.
Nafikiri serikali itoe nafasi kwa watumishi kujiendeleza kwenye mambo ya uongozi na utawala kwa kada zote, yaani kuwepo chuo cha serikali kinachotoa mafunzo kwa viongozi na watawala tarajiwa kutoka kwenye taasisi mbalimbali za serikali....
 
Nafikiri serikali itoe nafasi kwa watumishi kujiendeleza kwenye mambo ya uongozi na utawala kwa kada zote, yaani kuwepo chuo cha serikali kinachotoa mafunzo kwa viongozi na watawala tarajiwa kutoka kwenye taasisi mbalimbali za serikali....
Kipo. Mzumbe University imepika, imeandaa Hawa watu vya kutosha na hawatumiki ipasavyo kutokana na mifumo ya upatikanaji wake ilivyo serikalini. Mzumbe wanapika vizuri kada zote za uongozi katika nchi.
 
1. RC Njombe out
2. RC Geita out
3. RC mwanza transfer to Katavi
4. RC kilimanjaro stay
5. RC mbeya out
6. RC Dar Stay
7. DC Hai Transfer to Kankoko DC
8. DC Geita out
9. DC kahama transfer to biharamulo
10. DC siha out
11. DC simanjiro out
12. DC same out
13. DC chato transfer to Hai
14. DED Bahi out
15. DED same out
16. DED Ngorongoro out
17. DED kahama out
18. DED chunya out
19. DED ikungi out
20. DED tarime out
21. DED Serengeti out
22. DED tanga mjini out
23. DED bukombe out
24. DED chato transfer
25. DED kibaha stay
26. .......
RC Iringa ni jipu atolewe.
 
1. RC Njombe out
2. RC Geita out
3. RC mwanza transfer to Katavi
4. RC kilimanjaro stay
5. RC mbeya out
6. RC Dar Stay
7. DC Hai Transfer to Kankoko DC
8. DC Geita out
9. DC kahama transfer to biharamulo
10. DC siha out
11. DC simanjiro out
12. DC same out
13. DC chato transfer to Hai
14. DED Bahi out
15. DED same out
16. DED Ngorongoro out
17. DED kahama out
18. DED chunya out
19. DED ikungi out
20. DED tarime out
21. DED Serengeti out
22. DED tanga mjini out
23. DED bukombe out
24. DED chato transfer
25. DED kibaha stay
26. .......
Namba 10 naendekeza apelekwemahakamani kabisa
 
Nimeona sehemu linatumika jina la JUMONG,hivi maana yake nini?
 
USHAURI;
1. Serikali ingewatumia vizuri Hawa wahitimu wa shahada za utawala wa umma- HRM, LGM, PSM pia kuwa wakuu wa wilaya, wakurugenzi,na Makatibu tawala wilaya na mikoa pia. Hawa wameandaliwa vema na wamepikwa vizuri kuliko taaluma nyinginezo.
2. Mapendekezo ya kuwapata wakuu Hawa yatolewe kutoka kila wilaya kwa Siri kupitia vyombo ambapo wataweza kuwaibua huko na kuendelea na taratibu nyinginezo.
3. Ikiipendeza serikali, wakuu Hawa wa wilaya, wakurugenzi,MaDas, wakuu wa mikoa wateuliwe kwa uwiano wa mikoa na wilaya zao wanakotoka kiidadi.
4. Mapendekezo yaanzie wikayani kwenda taifani.
5. Kila kundi litoemapendekezo ya majina ya watu wanaoweza kuwa na sifa hizo kwa Siri.
Hii hoja ni nzuri mno!!!! Kuna sehemu hawajawahi kutoa hata Das
 
Mkuu naomba Nieleweshwe...
Siku za Hivi Karibuni Ukurugenzi...Sio wa Taasisi huu wa Halmashauri/Manispaa ni wa Kisiasa Sio wa Kitaalam!
Ingawa wanasimamia Miradi Mingi na Fedha ila Wengi ni Wanasiasa/Wakada mwisho wa Siku Utendaji unakuwa Kisiasa
Nashangaa watu wanashadadia hizi nafasi za za Kisiasa...
Nilidhani Nafasi Muhimu ni Zile za awali
Makatibu wakuu,,,Makatibu wasaudizi,Wakurugenzi wa Taasisi!
Lakini hizi zilizobaki ni Political Posts tuu!
Mtaalam either wa fedha,Uchumi,Miundombinu,Mhandisi,hawezi fanya lolote zuri zaidi ya Lawama!
Ni Nafasi kwa Wanasiasa,Au ni Mfumo sijui??
Kujadili ni Kupanua Mawazo Karibu!
Ndio imekuwa siasa baada ya kuanza kuwapatia kazi watu wasiostahili kabisa.
Hapo inabidi serikali ifanye vetting Kali bila kuathiri halmashauri zetu kwenye mambo ya kisiasa!!!
 
Back
Top Bottom