Michael Mlay
Member
- Aug 24, 2022
- 57
- 84
Habari zenu wakuu,wakubwa shikamoni
Straight to the point,Niko mwaka wa tatu chuo x, niliingia na mipango mingi sana nilivyotoka advance ya kusave boom ili ikiwezekana nifungue biashara kwasababu home hali ndo hivyo maisha sio mazuri sana
Tunapewa elimu tu mtaji utajua mwenyew na sababu nyingine najua mnaelewa degree nyingi ziko mtaani wakuu hazina kazi, kwahiyo nikasema nijibanebane duuh lakini naona nagonga mwamba kabisa mwaka wa pili nilifanikiwa ila bado sikufikia malengo,
Sasa niko mwaka wa tatu semester ya kwanza bado maboom 3 ,ushauri wenu wakuu kama kunamtu alifanikiwa kupitia boom atupe uzoefu kidogo.Nawasilisha
SPIRITUAL WORLD drive fresh world
Straight to the point,Niko mwaka wa tatu chuo x, niliingia na mipango mingi sana nilivyotoka advance ya kusave boom ili ikiwezekana nifungue biashara kwasababu home hali ndo hivyo maisha sio mazuri sana
Tunapewa elimu tu mtaji utajua mwenyew na sababu nyingine najua mnaelewa degree nyingi ziko mtaani wakuu hazina kazi, kwahiyo nikasema nijibanebane duuh lakini naona nagonga mwamba kabisa mwaka wa pili nilifanikiwa ila bado sikufikia malengo,
Sasa niko mwaka wa tatu semester ya kwanza bado maboom 3 ,ushauri wenu wakuu kama kunamtu alifanikiwa kupitia boom atupe uzoefu kidogo.Nawasilisha
SPIRITUAL WORLD drive fresh world