Revolution
JF-Expert Member
- Feb 28, 2008
- 960
- 927
Nunua tende na majiWanabodi wapi nitapata futari nzuri Dodoma? Watu wanapika vyakula vya hovyo na mabei makubwa. Mwaka jana kuna sehemu nilikuwa ninapata iftar karibu na Fire hapo Makole na walikuwa wana best Iftar. Mwaka huu nimekwenda hapo kama mara tatu and I am not impressed ! Wamepandisha bei na yet wanapika vibaya kuliko mwaka jana. Sitaki kuwataja jina nikaharibu biashara yao.
Ila pia kama kuna watu wanawafahamu please wawafikishie ujumbe huenda wakajirekebisha.
Majukumu yananibana mkuu pia sio mtaalam sana wa mapishi. Ila wao ni wataalam na walilidhihirisha hilo mwaka jana...why not now?Sasa si upike mwenyewe mkuu
Sawa MkuuNunua tende na maji
Nenda ihumwa pale samaki samaki Kuna chakula kizuri sana mkuuWanabodi wapi nitapata futari nzuri Dodoma? Watu wanapika vyakula vya hovyo na mabei makubwa. Mwaka jana kuna sehemu nilikuwa ninapata iftar karibu na Fire hapo Makole na walikuwa wana best Iftar. Mwaka huu nimekwenda hapo kama mara tatu and I am not impressed ! Wamepandisha bei na yet wanapika vibaya kuliko mwaka jana. Sitaki kuwataja jina nikaharibu biashara yao.
Ila pia kama kuna watu wanawafahamu please wawafikishie ujumbe huenda wakajirekebisha.
YeahSawa Mkuu
Ngoja nipande sgr hapa kumbe dodoma mna chakula kizuriMwambao
Leo umeongea jambo la msingi sanaShemela binti kiziwi futari tayari?, ili mimi na nusu albino Half american tuje kula
we bwege punguza kula, Kuna jela nusu albinoLeo umeongea jambo la msingi sana