Walaji wa kitimoto tujuzane kijiwe kipi kizuri kwa hapo ulipo

Mkuu hebu tuelekezane hapo mimi nimehamia haya maeneo, hiyo ROMBO PUB ndiyo pale kwa Munuo au, nachukuaga pale sema sipaelewi natafuta chimbo lingine.
Jamaa unazingua sana Avatar yako mpaka nikaanza kupuliza simu nkajua kasisimizi kanatembea kwenye Simu yanguuu...!![emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji23][emoji23]
 
Kumbuka ni haramu-najisi (najisi kwa kiingereza it is harmful) ina minyoo isiyokufa hata ikipikwa na ni kisababishi cha magonjwa kadhaa. Jiepushe nayo. Kula kiti moto Ni sawa na kuweka diesel kwenye gari la petrol
Nitajie ugonjwa mmoja tu ambao unawapata makafir Wala kitimoto na hauwapati maustaadh wasio Kila Haram,plz
 
Mkuu hebu tuelekezane hapo mimi nimehamia haya maeneo, hiyo ROMBO PUB ndiyo pale kwa Munuo au, nachukuaga pale sema sipaelewi natafuta chimbo lingine.
Pameandikwa ROMBO PUB kuna gari nyingi huwa zinapack hapo mida ya jioni nazani
Kituo cha daladala kwa CHAGANI

Chimbo jingine ninaloliwinda ni bar moja jirani na kwa SCABASCUBA ukitoka ferry njia ya mikadi kabla ya Sheli OILCOM hapo huwa nikipita na usafiri wangu napata harufu matata inaonesha wana jiko zuri ingawa sijawahi kula pale
 

Nitalipitia hili la Kwa Chagani kwanza mkuu, Shukrani sana.
 
Daah huyu mdudu hatari sana, nawaonea huruma wasiomtumia Kiumbe huyu
 
1. Juliana - Mbezi beach kama unaenda africana ukitokea round about
2. Mibbs - Sinza
3. Kwa Barongo - Mbezi beach
4.Waungwana - Sinza
5. City Pork Tabata
We demu kumbe tunakulaga wote kitimoto mimi, wewe na Simara sehemu moja[emoji15] [emoji15] [emoji15] namba 2: Mibbs Sinza??? Shangaa wapi? kumbe nakujua na labda na wewe unanijua?....asee kumbe tunajuana?.....sitaki tena ugomvi jf asee![emoji119] [emoji119]

Simara
Jason Statham2
KAPONGO
@joowezy
 
Nawachoraga tu mnafikiri siwajuagi kumbe basi tu sitakagi kuwashobokea Mzigua90
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…