Jamaa unazingua sana Avatar yako mpaka nikaanza kupuliza simu nkajua kasisimizi kanatembea kwenye Simu yanguuu...!![emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji23][emoji23]Mkuu hebu tuelekezane hapo mimi nimehamia haya maeneo, hiyo ROMBO PUB ndiyo pale kwa Munuo au, nachukuaga pale sema sipaelewi natafuta chimbo lingine.
Nitajie ugonjwa mmoja tu ambao unawapata makafir Wala kitimoto na hauwapati maustaadh wasio Kila Haram,plzKumbuka ni haramu-najisi (najisi kwa kiingereza it is harmful) ina minyoo isiyokufa hata ikipikwa na ni kisababishi cha magonjwa kadhaa. Jiepushe nayo. Kula kiti moto Ni sawa na kuweka diesel kwenye gari la petrol
Nipo madongo poromoka ukuTwende nikakutoe kitimoto mkuu uko wapi?
mkuu hiyo avatar yako imenifanya niangushe kopo languMkuu hebu tuelekezane hapo mimi nimehamia haya maeneo, hiyo ROMBO PUB ndiyo pale kwa Munuo au, nachukuaga pale sema sipaelewi natafuta chimbo lingine.
Pameandikwa ROMBO PUB kuna gari nyingi huwa zinapack hapo mida ya jioni nazaniMkuu hebu tuelekezane hapo mimi nimehamia haya maeneo, hiyo ROMBO PUB ndiyo pale kwa Munuo au, nachukuaga pale sema sipaelewi natafuta chimbo lingine.
Pameandikwa ROMBO PUB kuna gari nyingi huwa zinapack hapo mida ya jioni nazani
Kituo cha daladala kwa CHAGANI
Chimbo jingine ninaloliwinda ni bar moja jirani na kwa SCABASCUBA ukitoka ferry njia ya mikadi kabla ya Sheli OILCOM hapo huwa nikipita na usafiri wangu napata harufu matata inaonesha wana jiko zuri ingawa sijawahi kula pale
Daah huyu mdudu hatari sana, nawaonea huruma wasiomtumia Kiumbe huyuTujuzane kijiwe kipi kizuri kwa hapo ulipo kinapika kitimoto chenye Quality yaani ukigusa utatamani kesho uje tena?
Kama mnavyojua Utamu wa kitimoto upate na ugari au Ndizi za kukaanga,nimeshapanga ratiba yangu leo lazima nikale kitimoto.
View attachment 942375
View attachment 942377
Nb:
Mashekhe na Maustadhi tafadharini sana msije kuutia shombo uzi huu,
Huu ni kwa sisi wala kitimoto tu ukiona haukufai kafanye mengine siyo kuja hapa.
Cc Zero IQ
Aaagh! ...hivo hapana asee[emoji36] [emoji36]
1. Juliana - Mbezi beach kama unaenda africana ukitokea round about
2. Mibbs - Sinza
3. Kwa Barongo - Mbezi beach
4.Waungwana - Sinza
5. City Pork Tabata
Kuna sehemu umeitaja hapo haipiti mwezi sijaitembelea
Ipi hiyo??
No 2
Pia kabla ujafika waungwana kuna dogo hapakaribu na kinara huwa anapika kitimoto nzuri
No 2
Pia kabla ujafika waungwana kuna dogo hapakaribu na kinara huwa anapika kitimoto nzuri
Uko vizuri...
Weeee[emoji72] [emoji72] [emoji33] [emoji33] ....me too dear!Wajua nimekumiss sana??
We demu kumbe tunakulaga wote kitimoto mimi, wewe na Simara sehemu moja[emoji15] [emoji15] [emoji15] namba 2: Mibbs Sinza??? Shangaa wapi? kumbe nakujua na labda na wewe unanijua?....asee kumbe tunajuana?.....sitaki tena ugomvi jf asee![emoji119] [emoji119]1. Juliana - Mbezi beach kama unaenda africana ukitokea round about
2. Mibbs - Sinza
3. Kwa Barongo - Mbezi beach
4.Waungwana - Sinza
5. City Pork Tabata
Nawachoraga tu mnafikiri siwajuagi kumbe basi tu sitakagi kuwashobokea Mzigua90We demu kumbe tunakulaga wote kitimoto mimi, wewe na Simara sehemu moja[emoji15] [emoji15] [emoji15] namba 2: Mibbs Sinza??? Shangaa wapi? kumbe nakujua na labda na wewe unanijua?....asee kumbe tunajuana?.....sitaki tena ugomvi jf asee![emoji119] [emoji119]
Simara
Jason Statham2
KAPONGO
@joowezy