financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
Kama napafahamu hivi, ni mkiagiza mnakaa porini huko ndyo kumewekwa viti? Ni Buza ila nilipenda kitimoto yao kama iko freshi tofauti na hizi ukihitaji zinazotolewa frijini.Ni mle kwenye misitu?
Wako wengi wengi?
Kama Ni hapo kitimoto chao kibaya
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyama Yao ya kawaida sana,Wakuu kuna hili chimbo la hapa KAIRUKI HOSPITAL kuna kama kontena hiv wanachoma balaa halafu na vinega yao hyo balaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Wabongo tukiwa na watej wengi hudum zinakua mbovu.
Sasa masaa matatu na umepiga simu, mimi sikupiga na ilikua jumamosi cha moto nilikiona.
Kuna sehemu nyingine nilikula kitimoto konki sana maeneo ya buza tanesco kuna majiko mengi yaani lisaa tu ushaletewa msosi.
Sio kwa Resty hapo maana anazo mbiliWakuu kuna hili chimbo la hapa KAIRUKI HOSPITAL kuna kama kontena hiv wanachoma balaa halafu na vinega yao hyo balaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah yani 3000/= sasa watu si wataacha kabisa kula nyama za aina nyingine??Nimefika karagwe huku kata ya kanoni..kitimoto elfu tatu kilo moja.. Nikakaa chini kwanza machozi ya furaha yakintiririka.
Kitimoto yapaswa kubeshimiwa.
[emoji16][emoji16]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kazimoto segerea?? Pale napo wanapakua mafupa tu kama hawakujui, yani nimeshaenda kama mara 3 na zote walinidisappoint [emoji852]
Ruddys farm changamoto ni mbali tu ila jamani ukienda huwezi kujuta, nyama safiCity pork Riverside wako poa sana, rubyfarm IPO kunduchi ni Moto WA kuotea mbali, hizi sehemu kila wiki lazima nitie timu
Hilo chimbo nalijua, na uzuri wake hukai zaidi ya dakika 5. Mzigo huwa upo ready madeWakuu kuna hili chimbo la hapa KAIRUKI HOSPITAL kuna kama kontena hiv wanachoma balaa halafu na vinega yao hyo balaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Inabidi uwe mkali aisee,Yani mara tatu zote unapakuliwa mafupa unakaa Kimya!??Kazimoto segerea?? Pale napo wanapakua mafupa tu kama hawakujui, yani nimeshaenda kama mara 3 na zote walinidisappoint [emoji852]
Sent using Jamii Forums mobile app
Aah niliona isiwe kesi, sitegemei kurudi tena pale, yani nimekaa napata harufu ya gas tu na bado nyama haileweki nikaona niachane napo, nna miezi zaidi ya miwili sijaendaInabidi uwe mkali aisee,Yani mara tatu zote unapakuliwa mafupa unakaa Kimya!??
Ni kweli kuna uzembe ila ukiongea na Manager wao pale wanakuwa very humble..
Ukirudi tena wapige mkwara usiwachekee watakupa nyama nzuri tu.
The only thing to fear is fear itself
Mimi binafsi mara zangu mbili za kwanza walinidisapoint na nilikuwa na marafiki hvyo nikakaa kimya!!Aah niliona isiwe kesi, sitegemei kurudi tena pale, yani nimekaa napata harufu ya gas tu na bado nyama haileweki nikaona niachane napo, nna miezi zaidi ya miwili sijaenda
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna chimbo liko ndani ndani sana
Nenda Hadi Galanos Secondary (Nguvumali) pitia njia ya majani mapana hiyo sehemu iko karibu kabisa na mitambo na mitambo ya kupoozea umeme (zinaangaliana)
Wanafuga hapo na kupika hapo .
Niliwahi kuta Hadi wachina wanakuja kule kula kitimoto[emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Abdallah na ni mpishi wa kitimoto aiseeee [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Kijiwe kizuri ni pale Bakwata Magomeni na makutano ya Morogoro na Kawawa roads. Kuna mpishi pale anaitwa Abdallah, ni utamu mwanzo mwisho.
Kitimoto point kinyerezi na kunduchi hapa ukifika agiza TekenyaMimi binafsi mara zangu mbili za kwanza walinidisapoint na nilikuwa na marafiki hvyo nikakaa kimya!!
Nilirudi mwenyewe baada ya wiki niliwapa biti ya nguvu kilichofuata nilipewa nyama inayoeleweka mpaka leo nikienda hawafanyi ujinga tena.
Btw..Suggest sehemu tatu tofauti zenye ubora kwa sasa ukiiacha Rudis
The only thing to fear is fear itself
Au labda tuwe tunaulizana id zetu za JF[emoji3][emoji3][emoji3]Mama.e k'moto....kuna haja ya kuanzisha kitimoto club.. [emoji51] . Afu haya machimbo itakuwa tunakutana sana ila hatujuani,au tunajua lakini lakini hujui mwenzio anatumia ID humu..π...Viva nguruwe