Chimbo langu hilo, wale vijana wangu wakina white wanachoma kitimoto sijawahi ona...Wakuu kuna hili chimbo la hapa KAIRUKI HOSPITAL kuna kama kontena hiv wanachoma balaa halafu na vinega yao hyo balaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Yes Micasa ziko vizuri ila hii ya Tabata wanapunja balaa,Kitomoto point kinyerezi na kunduchi hapa ukifika agiza Tekenya
Micasa zote 2 ziko vizuri
Mamaz ada estate
Juliana pub mbezi beach
Sehemu ziko nyingi tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Unapoona umemhisi huyu ni Jimena unamfuata kumuuliza[emoji23][emoji23]
The only thing to fear is fear itself
Ndio hapo tabata kilo ina tatizo[emoji852]Yes Micasa ziko vizuri ila hii ya Tabata wanapunja balaa,
Hyo kunduchi nayo inaitwa Kitimoto point!??na hyo Tekenya ndio style at!!
Asante Mamaz sikuwahi kufika ngoja ni update excel sheet yangu
The only thing to fear is fear itself
Thanks...Naomba zidi kukusanya taarifa najua tutafungua Club soon na watu wanahangaika sana kutafuta vijiwe vipya vikali mana vingi tumeshakwenda sana..Ndio hapo tabata kilo ina tatizo[emoji852]
Ndio uko sahihi kabisa maana jina ndio hilo hilo la kitimoto point na tekenya ni style art
Kuna chimbo lingine tena karibia na Hugo sema nimesahau jina
Sent using Jamii Forums mobile app
Itakuwa rahisi sana kukugundua wewe[emoji23][emoji23]
Ntajitahidi mkuu, wakifungua maeneo yetu mambo yawe motoThanks...Naomba zidi kukusanya taarifa najua tutafungua Club soon na watu wanahangaika sana kutafuta vijiwe vipya vikali mana vingi tumeshakwenda sana..
Ila hyo Tekenya itabidi patembelee ni mpya kabisa kwangu sema mbali
The only thing to fear is fear itself
Mmmh sidhaniItakuwa rahisi sana kukugundua wewe[emoji23][emoji23]
The only thing to fear is fear itself
Kwanini hudhani!??
Hahahaha kumbe hutanijua wewe , huwa najaribu kuyala yakinishinda nasusa naenda kula mahala pengine tu kitu chochoteKwanini hudhani!??
Nikiona mtu amepewa mafupa halafu anayala wala halalamiki moja kwa Moja napigia mstari jibu langu[emoji3][emoji3]
The only thing to fear is fear itself
Umenipa kitimoto mood halafu sikuwa hata na mpango wa kuitafuta hvi karibuni
Kuna mtu alinishawishi kurudi kazimoto ila nikagoma, nasikia kipindi hiki bado wanafungua kama kawaidaUmenipa kitimoto mood halafu sikuwa hata na mpango wa kuitafuta hvi karibuni
The only thing to fear is fear itself
Hvi huwa unajaribu vipi kuyala mafupa!??Hahahaha kumbe hutanijua wewe , huwa najaribu kuyala yakinishinda nasusa naenda kula mahala pengine tu kitu chochote
Sent using Jamii Forums mobile app
Kazimoto pazuri mie nilikwenda mwezi uliopitaKuna mtu alinishawishi kurudi kazimoto ila nikagoma, nasikia kipindi hiki bado wanafungua kama kawaida
Sent using Jamii Forums mobile app
Inawezekana kweli mi ni mpole, ndio maana napenda zaidi Ruddys mana pale unatoa 25k ila mzigo unakuja safi hauna kasoro kabisa,Hvi huwa unajaribu vipi kuyala mafupa!??
Wanakuonea sana wewe mpole
Bei zenyewe zimesimama halafu uniwekee mafupa duh
The only thing to fear is fear itself
Nenda kapige Ribs zile wale wana pilipili tamu naipenda sanaKuna mtu alinishawishi kurudi kazimoto ila nikagoma, nasikia kipindi hiki bado wanafungua kama kawaida
Sent using Jamii Forums mobile app
Ntafanya hivyo, nikiwa pale ntakudmKazimoto pazuri mie nilikwenda mwezi uliopita
Nenda mara ya mwisho ama niite niwape mkwara huo[emoji3][emoji3]
The only thing to fear is fear itself
Mie pia sipendagi maneno ila siwezi kuwekewa mafupa nikakaa kimya na pesa natoaInawezekana kweli mi ni mpole, ndio maana napenda zaidi Ruddys mana pale unatoa 25k ila mzigo unakuja safi hauna kasoro kabisa,
Sent using Jamii Forums mobile app
Naona una bidii ya kunipa vishawishi, ntaenda kwa mara ya mwisho, wakizingua sitakanyaga tenaNenda kapige Ribs zile wale wana pilipili tamu naipenda sana
The only thing to fear is fear itself