Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Ni pale stand kabisa ya daladala,wewe ukifika hapo stand ulizia ni wapi kitimoto inapatika,utaonyeshwa tu kwa kidole.Kijiwe kinaitwaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni pale stand kabisa ya daladala,wewe ukifika hapo stand ulizia ni wapi kitimoto inapatika,utaonyeshwa tu kwa kidole.Kijiwe kinaitwaje?
Mbona ndio bei hiyo maeneo mengiNakula kitimoto nusu huku Kinyerezi kwa TZS 5,500/=,nimeshangaa sana hii bei!
Wapi tena kwingine naweza kupata kwa hii bei mwenyekiti?Mbona ndio bei hiyo maeneo mengi
Hata huku kwtu mbezi maeneo kibao nyama ni 5500 kwa 6000Wapi tena kwingine naweza kupata kwa hii bei mwenyekiti?
Kwa kipimo kipi mkuu niixafirieeee....FastaHata huku kwtu mbezi maeneo kibao nyama ni 5500 kwa 6000
Hapo nusu iliyopikwa... Bei ya jumla kwa mbichi kwa kilo ni 7200Kwa kipimo kipi mkuu niixafirieeee....Fasta
......1/4
......1/2
1/Kg
Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
Au aniulizieNi pale stand kabisa ya daladala,wewe ukifika hapo stand ulizia ni wapi kitimoto inapatika,utaonyeshwa tu kwa kidole.
Itakuwa wale wanaokufa bahati mbaya wakiwa wanazaa au kuuguaNakula kitimoto nusu huku Kinyerezi kwa TZS 5,500/=,nimeshangaa sana hii bei!
Hizo ziko mitaa gani kwa sie wageni wa morogoroSavoyi Morogoro
Container Morogoro
Container Mikocheni
Nyuma ya msamvu kule sheli au hapo kwenye ile bar panapo simama daladala za mikese?Morogoro -Nyuma ya Msamvu kuna jamaa anaitwa Kimaro/Kimario kuna kitimoto safi ya kuchoma
Mi mgeni ofisi za immigration moro ziko sehemu gani?Morogoro hapa nyuma ya ofisi ya immigration mkoa kwa KIMARIO.
Pork joint si pabayaKwa Dodoma wapi pazuri
Mshana unafikaga hapo? Kumanina nitakuwa nakujuaForest pub Kibaha KwambondeView attachment 1777076
Zipo nyuma ya sheli mpya hapo msamvu. Sheli inayofuata baada ya hiyo ambayo daladala za mikese zinasimama ukiwa unarazama uelekeo wa nanenane. Kwa daladala hicho kituo kinaitwa maraha. Fuata hiyo barabara ya vumbiMi mgeni ofisi za immigration moro ziko sehemu gani?