Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,627
- 38,689
Jumamosi lazima niende kimara!!
umefeli......ila masheikh na maustadh ndiyo wanajua wapi kuna kitimoto bombaKumbuka ni haramu-najisi (najisi kwa kiingereza it is harmful) ina minyoo isiyokufa hata ikipikwa na ni kisababishi cha magonjwa kadhaa. Jiepushe nayo. Kula kiti moto Ni sawa na kuweka diesel kwenye gari la petrol
We jamaa hakikisha unapita sinza kwa remi upande wa pili hapa ulizia wap kitimoto choma wanauza kg 18000 nenda weka oda nakuapia hautarud kwenye kijiwe chako
wapio hapo jamani daaaaKaribuni
Sinza mkuuwapio hapo jamani daaaa
Pale kontena daah!.. Unaweza kujing'ata[emoji39]vipi pale kontena Mikocheni jirani na kwa Kikwete?...iko choma makini pale
Karibu..unapajua?Na mi nikalibie mkuu?
da mwafaidi mkuu kesho nakutafuta nije unipeleke maeneo hayo garama kwanguSinza mkuu
Ur most welcome...Napajua ndio mkuu
Karibu mkuuda mwafaidi mkuu kesho nakutafuta nije unipeleke maeneo hayo garama kwangu
Unanidangia eeh?[emoji28] [emoji28] [emoji23]Nitumie na nauli ya kuja mkuu