Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Roho mbaya haitomnyoosha.Atajidai anakufanyia maombi.Dawa ni kumfanyia vibweka vya futuhi mpaka aseme abeeeee!Dawa ya mtu mbishi ni Roho mbaya tu mkuu
basi hiyo minyoo ni fake mbona tunakula kitimoto tangu utotoni na sasa tunakaribia kuzeeka hakuna chochote na tumekuta wazee wetu wanakula na hakuna lolote.Kumbuka ni haramu-najisi (najisi kwa kiingereza it is harmful) ina minyoo isiyokufa hata ikipikwa na ni kisababishi cha magonjwa kadhaa. Jiepushe nayo. Kula kiti moto Ni sawa na kuweka diesel kwenye gari la petrol
naomba kufahamu jijiwe chga supu ya hizi mamboUmeapia?Ila kitimoto iko njema sana hasa upate masikio,pua na kwato zilizokaangwa!Hahahahaaaa!
sabasaba hapo A.K.A Tanga pazurikuna sehemu moja pale tanga wanatengeneza kitimoto tamu balaaa...............
nimepasahau jina ila ni jiran na round about ya kwanza ukitokea pongwe kabla hujaingia mjini
Balaa la pale ni noma mama City Pork Micasa nawakubali sanaTabata pale micasa bar da ile kitimoto rost tam balaaa ile taste sijaiona kokote
Dah!NDUGU mpendwa mwanakwaya kutoka Ulyankulu Tabora,umetisha katika tenzi!!!"Katika wanyama woote walioumbwa kitimoto kaumbika kuliko woooteeee🎶🎶,kapewa na mafuta na nywele za kizungu na kamkia kafupiii pale kwa nyumaaaa,.upate kachumbari na ndizi za kuchoma na kaserengeti baridiii pale pembeniii🎶🎶🎶🎶"
Hata kwenye Kuran au Bibilia kwa wasabato hawajaharimisha kwa sababu kama zako. Kwa hiyo walaji waendelee tuKumbuka ni haramu-najisi (najisi kwa kiingereza it is harmful) ina minyoo isiyokufa hata ikipikwa na ni kisababishi cha magonjwa kadhaa. Jiepushe nayo. Kula kiti moto Ni sawa na kuweka diesel kwenye gari la petrol
Sabasaba?kuna sehemu moja pale tanga wanatengeneza kitimoto tamu balaaa...............
nimepasahau jina ila ni jiran na round about ya kwanza ukitokea pongwe kabla hujaingia mjini
Au sioo...haha pamoja sana chief,.Dah!NDUGU mpendwa mwanakwaya kutoka Ulyankulu Tabora,umetisha katika tenzi!!!
Sudi/utenzi wako umenibariki sana hadi nimepata njaa.Basi,ngoja niwe mwenye kujongea mahali nikape walau mbavu za noah!Au sioo...haha pamoja sana chief,.
Huyo jamaa kakuweza,sipati picha ulivokesha toiletJana nimekula pale sabasaba aisee Jamaa hajui kabisaa kupikaaa...tumbo limeniuma sanaa! Jamaa falaa sana namuhamaaa kabisa
Huyu mdudu spesho jamani, ndio maana anayoyoma tu tulianza kama utani kilo elf9 ikaenda 12k, 15k na sasa 18k na madhara hatujayaona wacheni mdudu atambe bana akitoka kuku supastaa Kei-Moo!basi hiyo minyoo ni fake mbona tunakula kitimoto tangu utotoni na sasa tunakaribia kuzeeka hakuna chochote na tumekuta wazee wetu wanakula na hakuna lolote.
mnahangaika sana kumsingizia matatizo mdudu ila ndio anazidi kupanda gharama
Mkuu acha tuu...jana night sijalala mpaka sasa tumbo linauma! Jamaa hajuii kupikaa kabisaa...Huyo jamaa kakuweza,sipati picha ulivokesha toilet
Kumbuka ni haramu-najisi (najisi kwa kiingereza it is harmful) ina minyoo isiyokufa hata ikipikwa na ni kisababishi cha magonjwa kadhaa. Jiepushe nayo. Kula kiti moto Ni sawa na kuweka diesel kwenye gari la petrol
Hamza ndio mwenye jiko la kuchoma mdudu hapo..jamaa anajua kwa kiasi chakeSafari resort - kimara ni utamu wa kujilamba ulimi