Walaji wa kitimoto tujuzane kijiwe kipi kizuri kwa hapo ulipo

Walaji wa kitimoto tujuzane kijiwe kipi kizuri kwa hapo ulipo

Kuna siku niliwachambaaa. Bahati yao sikua nalipa bill mimi ila ningeondoka na bill washike adabu wajifunze kuheshimu wateja.
Yani mtu unamuomba bill anatumia 40mins kuandaa.
Management ya pale inawalea wale wahudumu
Haaahaa....eti niliwachambaa, wana dharau kinoma mi bora kwenye msosi sizinguliwi kivile....ishu ni ile car wash yao asee, waliniharibia sensor za milango kuwauliza full kuchukulia simple!....haahaa pale ni jina ndo linauza ila service mmiliki ajiangalie
 
Huyo mr kuku sijala ila nina imani Dar hii hamna anaemfikia Sele bonge kwa biriani. Nilielekezwaga Temeke Sudab kwa Kidishi. Nikaambiwa huyu ndo bingwa wa biriani Temeke nzima. Aiseee. Nilienda kula mara tatu biriani haidamshi kabisa. Nikaachana nalo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] ukishampenda mpishi banaa
 
Mmiliki ajiangalie kweli.
Haaahaa....eti niliwachambaa, wana dharau kinoma mi bora kwenye msosi sizinguliwi kivile....ishu ni ile car wash yao asee, waliniharibia sensor za milango kuwauliza full kuchukulia simple!....haahaa pale ni jina ndo linauza ila service mmiliki ajiangalie
 
IMG_2611.JPG
 
Back
Top Bottom