Wgr30
JF-Expert Member
- Jan 22, 2017
- 1,770
- 2,384
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kazimoto papo vizuri
Dodoma nenda RISE UP PUB ipo kikuyu mbele ya chuo cha st john. HutajutaWakuu fanyeni summary kwa mikoa basi ya huu uzi tukianzia Dodoma, Mwanza, Arusha, Dar ...n.k
Itakuwa tushawahi meet hta mimi ni sehemu yangu sana hiyo.
Ukipata Ribs kadhaa siku inakuwa njema kabisa(Japo kuna siku huwa Hawaeleweki!!Kazimoto papo vizuri
Hii sehemu wakati niko Kahama walifaidi pesa zangu hawa.Njoo Huku mitaa ya nyakato Kahama panaitwa old traford,,,,wazee wa kitimoto Kahama mji huwa tunakusanyika pale noma nomalee
Panafaa kweliUkipata Ribs kadhaa siku inakuwa njema kabisa(Japo kuna siku huwa Hawaeleweki!!
Umepasogelea karibuni!??
Sent using Jamii Forums mobile app
Kazimoto Pork , wako vizuriUkipata Ribs kadhaa siku inakuwa njema kabisa(Japo kuna siku huwa Hawaeleweki!!
Umepasogelea karibuni!??
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh! Huyo mpemba nini maana mpaka mbagala wilaya hadi wilayaKivulini pub tabta kimanga.. kuna jamaa anaitwa anold ni hatri j2 anatengeneza na kongoro watu wantoka hadi mbagala
Kumbe Wewe ni muumini!??Ukienda siku nyingine nipe mualikoKazimoto Pork , wako vizuri
Ama umeacha kula Kitimoto!??
Binafsi situmii kwa sasaAma umeacha kula Kitimoto!??
Mara nyingine unaweza kwenda kupiga zako Wings
Sent using Jamii Forums mobile app
Yeah muumini sana tu, ntakujulisha mkuu ili janga lipitie mbali huko.
Yes ili lipite kwanza,Japo nami nimepunguza maana niliziendekeza sana,Yeah muumini sana tu, ntakujulisha mkuu ili janga lipitie mbali huko.
Umefanya jambo jema mana si za kuziendekezaBinafsi situmii kwa sasa
Ni kweli nyama haifai
Ooh I thought ni Pork pekee, kumbe wana hadi samaki??Yes ili lipite kwanza,Japo nami nimepunguza maana niliziendekeza sana,
Uzuri wake wanazo Kuku na samaki choma
Sent using Jamii Forums mobile app
Kijijini kwetu hasa december tukienda christmas kuna dada anaitea tekla. Taan masikio yanafanyiwa booking mapema sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]Umeapia?Ila kitimoto iko njema sana hasa upate masikio,pua na kwato zilizokaangwa!Hahahahaaaa!
Pale wamejitahdi wana variety sana!!Ooh I thought ni Pork pekee, kumbe wana hadi samaki??