Mnazareth
JF-Expert Member
- Dec 4, 2017
- 3,474
- 7,404
Ni kweli kabisa mimi nimepunguza ila siwezi sema nimeachaNi kweli nyama haifai
Itabidi tupunguze kidogo
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli kabisa mimi nimepunguza ila siwezi sema nimeachaNi kweli nyama haifai
Itabidi tupunguze kidogo
Nyuma ya masjid pale naniliu... wanapika kitimoto matata.Tujuzane kijiwe kipi kizuri kwa hapo ulipo kinapika kitimoto chenye Quality yaani ukigusa utatamani kesho uje tena?
Kama mnavyojua Utamu wa kitimoto upate na ugari au Ndizi za kukaanga,nimeshapanga ratiba yangu leo lazima nikale kitimoto.
View attachment 942375
View attachment 942377
Nb:
Mashekhe na Maustadhi tafadharini sana msije kuutia shombo uzi huu,
Huu ni kwa sisi wala kitimoto tu ukiona haukufai kafanye mengine siyo kuja hapa.
Cc Zero IQ
Kuacha mara moja ni ngumu
Hahah dah ila ni tamu sana..
Sema wanapunja mno hadi inaboa,
Nenda tena Kazimoto
Sent using Jamii Forums mobile app
Nitajaribu tena sikuHata mie kuna kipindi niliikuta ya ovyo ila kama mara mbili nilishaibahatisha ikiwa nzuri kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
😄😄Kabisa yani
City pork Riverside wako poa sana, rubyfarm IPO kunduchi ni Moto WA kuotea mbali, hizi sehemu kila wiki lazima nitie timu
Rudys farm habari nyingineRudis farm panaitwa [emoji16][emoji16][emoji16] aisee pale ni balaa wako vizuri sana unakula hadi unaacha sio wezi kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Sema bei yake nayo imesimama Mkuu, Ila uwezi jutiaRudis farm panaitwa [emoji16][emoji16][emoji16] aisee pale ni balaa wako vizuri sana unakula hadi unaacha sio wezi kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
DODOMA ...KWA MASISTA UASKOFUNI NI BALAA!
afu kwa Wale wanaopenda ile inayotengenezwa kwenye Vibanda umiza😀Pale Mkabala na RC NKUHUNGU Kama unaanza kuelekea Chang'ombe kuna Kina Manka Kibao na wamekubuhu katika maandalizi ya hii haramu.
Pia Mkabala na Bunge kule kwenye Vibanda vya Mama Nchimbi kuna Bar sio nzuri kivile lakini wanatengeneza kitu inachanganywa na mchicha ni hatari!
Sema bei yake nayo imesimama Mkuu, Ila uwezi jutia
Hapo maangulwa niniKijijini kwetu hasa december tukienda christmas kuna dada anaitea tekla. Taan masikio yanafanyiwa booking mapema sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]
Sent using Jamii Forums mobile app