Walaji wa kitimoto tujuzane kijiwe kipi kizuri kwa hapo ulipo

Walaji wa kitimoto tujuzane kijiwe kipi kizuri kwa hapo ulipo

Tujuzane kijiwe kipi kizuri kwa hapo ulipo kinapika kitimoto chenye Quality yaani ukigusa utatamani kesho uje tena?

Kama mnavyojua Utamu wa kitimoto upate na ugari au Ndizi za kukaanga,nimeshapanga ratiba yangu leo lazima nikale kitimoto.

View attachment 942375

View attachment 942377

Nb:
Mashekhe na Maustadhi tafadharini sana msije kuutia shombo uzi huu,

Huu ni kwa sisi wala kitimoto tu ukiona haukufai kafanye mengine siyo kuja hapa.


Cc Zero IQ
Nyuma ya masjid pale naniliu... wanapika kitimoto matata.
 
Hapo mkabala na bunge ni balaa kaka, ka bar kakawaida tu, ila nilipga kitimoto moja imeekewa mchicha dah, nmepamiss dom [emoji119]
DODOMA ...KWA MASISTA UASKOFUNI NI BALAA!
afu kwa Wale wanaopenda ile inayotengenezwa kwenye Vibanda umiza😀Pale Mkabala na RC NKUHUNGU Kama unaanza kuelekea Chang'ombe kuna Kina Manka Kibao na wamekubuhu katika maandalizi ya hii haramu.
Pia Mkabala na Bunge kule kwenye Vibanda vya Mama Nchimbi kuna Bar sio nzuri kivile lakini wanatengeneza kitu inachanganywa na mchicha ni hatari!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu naomba kujulishwa hv kitimoto wanapimaje?..baada ya kukaanga au kabla maana hv kitimoto peke yangu nimalize kilo 2 ?,,isije ikawa wananipunja? Na walaj tujulishane ni namna gan waweza tambua kama umepunjwa au hujapunjwa maana hii kitu ina bei sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom