Walaji wa kitimoto tujuzane kijiwe kipi kizuri kwa hapo ulipo

Walaji wa kitimoto tujuzane kijiwe kipi kizuri kwa hapo ulipo

Kumbuka ni haramu-najisi (najisi kwa kiingereza it is harmful) ina minyoo isiyokufa hata ikipikwa na ni kisababishi cha magonjwa kadhaa. Jiepushe nayo. Kula kiti moto Ni sawa na kuweka diesel kwenye gari la petrol

Mkuu hili ni jukwaa la ushauri au??[emoji848][emoji848]
 
Hii sehemu wakati niko Kahama walifaidi pesa zangu hawa.

Jirani na barabara ya kwenda Uganda, Kongo na Rwanda aisee walikuwa wanapika vizuri sana sijui saiv hali ikoje

Sent using Jamii Forums mobile app
Hiki nikiwanja changu heshimiwa pia Kahama too night karibu na Patrick hotel nao wanajitahidi but old Trafford ni nyoko

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi mkuu mbona nimepatafuta sijapapata, nipe ramani kamili

Sent using Jamii Forums mobile app
Ulifika mpaka sheli!??kituo cha nyuma kabla ya kufika Segerea Mwisho.

Ukifika hapo sheli ya oilcom unaenda straight au ulizia kwa mkuu wa Majeshi ni Op huwezi potea hata kidogo

The only thing to fear is fear itself
 
Ulifika mpaka sheli!??kituo cha nyuma kabla ya kufika Segerea Mwisho.

Ukifika hapo sheli ya oilcom unaenda straight au ulizia kwa mkuu wa Majeshi ni Op huwezi potea hata kidogo

The only thing to fear is fear itself
Nilifika hapo sheli nikakunja kushoto ile barabara mbovu, huko ndiko nilikopotelea sasa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sante sana Mnaza, one day ntakustua tuvisake vijiwe vyote vizuri vya kitimoto

Sent using Jamii Forums mobile app
You are Welcome.. kweli itabidi tufanye hvyo siku moja.

Rudys hutajuta..natumai ushafika pia Kwa Juliana Mbez ya chini hii.

Natengeneza excel sheet yangu ya vijiwe itatusaidia siku moja I can see leo upo na mood ya mdudu

The only thing to fear is fear itself
 
Back
Top Bottom