miss pablo
JF-Expert Member
- Jul 9, 2018
- 5,411
- 11,025
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbuka ni haramu-najisi (najisi kwa kiingereza it is harmful) ina minyoo isiyokufa hata ikipikwa na ni kisababishi cha magonjwa kadhaa. Jiepushe nayo. Kula kiti moto Ni sawa na kuweka diesel kwenye gari la petrol
Hiki nikiwanja changu heshimiwa pia Kahama too night karibu na Patrick hotel nao wanajitahidi but old Trafford ni nyokoHii sehemu wakati niko Kahama walifaidi pesa zangu hawa.
Jirani na barabara ya kwenda Uganda, Kongo na Rwanda aisee walikuwa wanapika vizuri sana sijui saiv hali ikoje
Sent using Jamii Forums mobile app
Usithubutu kwenda now kipindi cha corona, ni wamejaza minguruwe mizee haina hata ladha!Itakuwa tushawahi meet hta mimi ni sehemu yangu sana hiyo.
Hivi mkuu mbona nimepatafuta sijapapata, nipe ramani kamiliUkipata Ribs kadhaa siku inakuwa njema kabisa(Japo kuna siku huwa Hawaeleweki!!
Umepasogelea karibuni!??
Sent using Jamii Forums mobile app
Kunduchi karibu na wapi?City pork Riverside wako poa sana, rubyfarm IPO kunduchi ni Moto WA kuotea mbali, hizi sehemu kila wiki lazima nitie timu
Hiyo rudisfarm iko kunduchi ipi wakuu? Nataka nitie mguu leoRudis farm panaitwa [emoji16][emoji16][emoji16] aisee pale ni balaa wako vizuri sana unakula hadi unaacha sio wezi kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Aaah we nielekeze mkuu, mi nataka kwenda mida ya mchana leoTafuta siku nikupeleke mkuu
Mbele Kidogo na Bahari beach..
Ulifika mpaka sheli!??kituo cha nyuma kabla ya kufika Segerea Mwisho.
Ukifika bahari beach hotel kuna kibao mkono WA kushoto utafika Tu maaana kuna vibao mpka unafikaa.
Ok ok, Asante mkuuUkifika bahari beach hotel kuna kibao mkono WA kushoto utafika Tu maaana kuna vibao mpka unafikaa.
Sawa Mkuu, ulete mrejesho, Ila hutakaa usahau mdudu WA pale na utashangaa jinsi utavyokuwa unafunga Safari kwenda huko kama we ni mdau kamiliOk ok, Asante mkuu
Nikipotea ntauliza hata hapo hapo bahari beach
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilifika hapo sheli nikakunja kushoto ile barabara mbovu, huko ndiko nilikopotelea sasaUlifika mpaka sheli!??kituo cha nyuma kabla ya kufika Segerea Mwisho.
Ukifika hapo sheli ya oilcom unaenda straight au ulizia kwa mkuu wa Majeshi ni Op huwezi potea hata kidogo
The only thing to fear is fear itself
Sante sana Mnaza, one day ntakustua tuvisake vijiwe vyote vizuri vya kitimotoMbele Kidogo na Bahari beach..
The only thing to fear is fear itself
Hapo ndipo ulipokosea ulitakiwa kwenda straight nadhani ulikunja kama ya kuenda majumba sita...ukiuliza tu mkuu wa Majeshi hupoteiNilifika hapo sheli nikakunja kushoto ile barabara mbovu, huko ndiko nilikopotelea sasa
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi bei za City Pork zikoje?City pork Riverside wako poa sana, rubyfarm IPO kunduchi ni Moto WA kuotea mbali, hizi sehemu kila wiki lazima nitie timu
You are Welcome.. kweli itabidi tufanye hvyo siku moja.Sante sana Mnaza, one day ntakustua tuvisake vijiwe vyote vizuri vya kitimoto
Sent using Jamii Forums mobile app