Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,056
Hapa umetishaMie pia sipendagi maneno ila siwezi kuwekewa mafupa nikakaa kimya na pesa natoa
The only thing to fear is fear itself
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa umetishaMie pia sipendagi maneno ila siwezi kuwekewa mafupa nikakaa kimya na pesa natoa
The only thing to fear is fear itself
Kwa sababu najua ukiwakazia vizuri wanakupa kitimoto poa,Naona una bidii ya kunipa vishawishi, ntaenda kwa mara ya mwisho, wakizingua sitakanyaga tena
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa kabla sijaangiza ntakuwa nimeshakuchekiKwa sababu najua ukiwakazia vizuri wanakupa kitimoto poa,
Ama ukifika nishirikishe nitawapa mkwara huo mana siko nao mbali sana hawa
The only thing to fear is fear itself
Umeona mambo hayo!??Naona una bidii ya kunipa vishawishi, ntaenda kwa mara ya mwisho, wakizingua sitakanyaga tena
Sent using Jamii Forums mobile app
I willUmeona mambo hayo!??
Chukua hata namba kwenye Insta page yao halafu wape order kabla hujafika na mkwara juu View attachment 1454117
The only thing to fear is fear itself
Idea nzuri pia
Kwakweli umbali unasumbua, unaweza kudrive mpaka unafika home ukashangaa Una njaa tenaRuddys farm changamoto ni mbali tu ila jamani ukienda huwezi kujuta, nyama safi
Sanaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hii ID yako unamaanisha bhachu ipi hasa?Chimbo la kabwe mbeya kwa msiluwova
Nawe Kazimoto ndio kijiwe chako? Au nikudm tu sababu umeona kama hiyo dm kwa mkuu atafaidi sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787]namimi uni dm jamani
Pale inabidi ukiwa unakaribia kuondoka uagize zile sausage zao nusu kilo, ili uwe unatafuta njiani vinginevyo ni hatareeKwakweli umbali unasumbua, unaweza kudrive mpaka unafika home ukashangaa Una njaa tena
ila nilichogundua hivi vijiwe vikali kama vile Kazimoto pork kitambi ni lazima, kwa sababu lazima urudi tena na tena![emoji24][emoji24][emoji24]
Hahaha pale mzee ni shida.ila nilichogundua hivi vijiwe vikali kama vile Kazimoto pork kitambi ni lazima, kwa sababu lazima urudi tena na tena![emoji24][emoji24][emoji24]
Kuna watu niliwaona pale wanakula ribs na vitambi vyao![emoji24][emoji24][emoji24] Hivi mkuu kwa sasa ni vijiwe gani vinaweza kushindana na hawa kazimoto?Hahaha pale mzee ni shida.
Ulipiga zile ribs zao!??mie huwa naipenda pilipili yao.
Kitambi hakiepukiki pale
The only thing to fear is fear itself
Watu hawajali tena vitambi[emoji3][emoji3]Kuna watu niliwaona pale wanakula ribs na vitambi vyao![emoji24][emoji24][emoji24] Hivi mkuu kwa sasa ni vijiwe gani vinaweza kushindana na hawa kazimoto?
Hivi vijiwe ngoja niviweke kwenye list ya weekend!Watu hawajali tena vitambi[emoji3][emoji3]
Zipo Je umeshawahi kwenda Rudis maeneo ya bahari beach!??
Hata hii Micasa ya External hapa wako vizuri pia
The only thing to fear is fear itself
nenda Matako bar "Kerege CCM, Bagamoyo "Tujuzane kijiwe kipi kizuri kwa hapo ulipo kinapika kitimoto chenye Quality yaani ukigusa utatamani kesho uje tena?
Kama mnavyojua Utamu wa kitimoto upate na ugari au Ndizi za kukaanga,nimeshapanga ratiba yangu leo lazima nikale kitimoto.
View attachment 942375
View attachment 942377
Nb:
Mashekhe na Maustadhi tafadharini sana msije kuutia shombo uzi huu,
Huu ni kwa sisi wala kitimoto tu ukiona haukufai kafanye mengine siyo kuja hapa.
Cc Zero IQ
Rafiki Kumbe na wewe umo? Siku ya kwenda chimbo huwa unahifadhi njaa kama sisi pia?[emoji16][emoji16][emoji16]Twende nikupeleke mzee wa chura..