Hahahahhahhah zaidi ya kule bahari beach, huko bei zake vp, tafuta jina lake na Arusha sehemu ganiNiko Arusha now, jamani kuna kijiwe nimeletwa na braza angu hapa themi karibu na ofisi ya madini!
Toka nizaliwe sijawahi ona kitimoto kama ile[emoji134][emoji134]
Sent using Jamii Forums mobile app