Walaji wa kitimoto tujuzane kijiwe kipi kizuri kwa hapo ulipo

Walaji wa kitimoto tujuzane kijiwe kipi kizuri kwa hapo ulipo

Mwanagati kituoni pale Marwa bar pembeni kuna jamaa kyusa mi huwa naanzia pale,anaipenda kazi yake sana nikichukua mzigo wa 25k hutajutia.mtu 4 mnaondoka mmesmile njia yote kwenda town
 
Mh sounds more hyperbole

Yan mara mia ya Rudis!

The only thing to fear is fear itself
Mnaza narudia tena yaan mi ni mzururaji sana wa vitimoto lkn pale nimesanda[emoji119][emoji119]

Haki sijawahi kula kitimoto kama ile

Siku ukitia timu hapa arachuga utanidhibitishia

Wauza madini, matajiri wote Arusha wanashinda hapa!

Leo yenyewe narudi tena

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mnaza narudia tena yaan mi ni mzururaji sana wa vitimoto lkn pale nimesanda[emoji119][emoji119]

Haki sijawahi kula kitimoto kama ile

Siku ukitia timu hapa arachuga utanidhibitishia

Wauza madini, matajiri wote Arusha wanashinda hapa!

Leo yenyewe narudi tena

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimefika Chuga Mwaka jana mara Mbili,niliuliza wenyeji wangu mara nyingi wanipeleke chimbo kali za kitimoto ajabu sikuwahi pelekwa wala tajiwa hiyo..

Basi next time nitapatafuta mwenyewe!!

The only thing to fear is fear itself
 
Nimefika Chuga Mwaka jana mara Mbili,niliuliza wenyeji wangu mara nyingi wanipeleke chimbo kali za kitimoto ajabu sikuwahi pelekwa wala tajiwa hiyo..

Basi next time nitapatafuta mwenyewe!!

The only thing to fear is fear itself
Ni haki yao kabisa kutopajua kwa sababu, hili eneo limezungukwa na wafanyabiashara wa madini , so ukiwa unapita barabarani utahisi ni businesaa ndo ziko pale kumbe vyote kwa pamoja, madini na hotchair[emoji16]

Bonge moja la chimbo!



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni haki yao kabisa kutopajua kwa sababu, hili eneo limezungukwa na wafanyabiashara wa madini , so ukiwa unapita barabarani utahisi ni businesaa ndo ziko pale kumbe vyote kwa pamoja, madini na hotchair[emoji16]

Bonge moja la chimbo!



Sent using Jamii Forums mobile app
Nikaishia kwenda kwa Mromboo[emoji3]

The only thing to fear is fear itself
 
Niko Arusha now, jamani kuna kijiwe nimeletwa na braza angu hapa themi karibu na ofisi ya madini!

Toka nizaliwe sijawahi ona kitimoto kama ile[emoji134][emoji134]

Sent using Jamii Forums mobile app

Nilisha kwambia kwamba nyama Ina jua kuandaliwa Moshi na Arusha .Huku Dar Bado sana


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Back
Top Bottom