Walalahoi wenzangu hivi ili joto hamlioni au mie peke yangu!

Walalahoi wenzangu hivi ili joto hamlioni au mie peke yangu!

ndy maana nikatahadharisha walalahoi.
You were spot on! ila jamaa hakukuelewa!
Miaka ya nyuma nilikuwa nawasimulia washkaji tukio la mtoto kutumbukia kwenye choo mtaani kwetu. Wakishua alikuwa anabisha kuwa haiwezekani , kumbe mie nazungumzia choo cha shimo yeye fikra zipo kwenye vyoo vya kukaa nyumbani kwao
 
Kuna mtu anafanya kazi kwenye ofisi ya AC ndani ....akitoka anaingia kwenye gari pia kua AC , anarudi nyumbani nako amefunga AC .... huu uzi wako sidhani kama atauelewa
Huyo jamaa atakufa mapema sana unauzuia mwili wake ku-sens alisikika mkaazi mmoja wa Goba kwa Ndambi akinena
 
Usiku wa kuamkia leo nimepata usingizi saa kumi alfajiri. Nataka niingie mkoani kwanza kumalizia mwaka, hili joto la dar noma
 
Back
Top Bottom