Mhafidhina07
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 3,340
- 4,659
Dar na zanzibar ndani hakukaliki,ivi ndiyo vita au jua lipo closet to the earth.?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dar hakuna joto mzee baba ......amini nakwambia ...... alisikika mlevi moja wa K-VANT ....Dar na zanzibar ndani hakukaliki,ivi ndiyo vita au jua lipo closet to the earth.?
ndy maana nikatahadharisha walalahoi.Kuna mtu anafanya kazi kwenye ofisi ya AC ndani ....akitoka anaingia kwenye gari pia kua AC , anarudi nyumbani nako amefunga AC .... huu uzi wako sidhani kama atauelewa
hatari na nusuHuku Arusha pia kuna joto la ajabu
Sio huko tu ,hapa tabora mjini ni kama tumeinikwa kwenye jiko si mchana si usikuDar na zanzibar ndani hakukaliki,ivi ndiyo vita au jua lipo closet to the earth.?
Huku Moshi nalo joto linatutesa sana.Dar na zanzibar ndani hakukaliki,ivi ndiyo vita au jua lipo closet to the earth.?
You were spot on! ila jamaa hakukuelewa!ndy maana nikatahadharisha walalahoi.
yeah ni mwendro wa majotrooo kwakweli...Dar na zanzibar ndani hakukaliki,ivi ndiyo vita au jua lipo closet to the earth.?
Kawaida sana hili joto ni maandalizi ya mvua za msimu wa maembe DecemberDar na zanzibar ndani hakukaliki,ivi ndiyo vita au jua lipo closet to the earth.?
Huyo jamaa atakufa mapema sana unauzuia mwili wake ku-sens alisikika mkaazi mmoja wa Goba kwa Ndambi akinenaKuna mtu anafanya kazi kwenye ofisi ya AC ndani ....akitoka anaingia kwenye gari pia kua AC , anarudi nyumbani nako amefunga AC .... huu uzi wako sidhani kama atauelewa